THIS IS WHAT MAKES ME EVEN MORE CRAZIER...
halafu na wewe........ Angalia,
vya watu vina madhara mama, shauri yako,
usije sema sijakwambia!
ahahaaaa l.o.l
halafu na wewe........ angalia,
vya watu vina madhara mama, shauri yako,
usije sema sijakwambia!
Swahiba afterall unajua una kesi na mimi but still unajizungusha tu
kuna jamaa mmoja kule naona anatiririka tu
kakufanyaje kwani??
hebu mu wikiliki
kuna washika pembe humu balaa
Ulivyokuwa unanitaka,hukujua vya watu vina madhara???
Leo nimerudiana na my lv wangu ndo unajidai eti usije sema sikukushauri....
Get a life......
Hashy mimi najaribu kutoa angalizo tu,
Au ndo wivu wenyewe huu!
unajua tena ukubwa dawa kiongozi wangu!!!!
Potezea hao my lv, wataishia kunawa,kula unakula mwenyewe......
Dah!!
Sijui Uporoto01 na Klorokwini wapo wapi?
jamani popote walipo, wanatafutwa huku!