Apollo
JF-Expert Member
- May 26, 2011
- 4,920
- 3,221
sasa kama ni kula kulala we unadhan anashindwa kulipiwa. Watu wanahustle kupa hela ya kodi ya nyumba, maji, umeme na misosi na siyo kunenepesha matumbo ya wachache.
nani amekuambia mimi ni kula kulala? Mimi mbishi ndio maana kama mwanaume wa dhati hiyo hela hainifanyi nilie. Watoto mayai ndio wanaomaliza chuo wanakaa nyumbani na wanashindwa kupata hata 45000