Ni wazo tu jamani..... msinijie juu!

Ni wazo tu ndugu zanguni msinitafune

Mara nyingi tunaambiwa uwezo wa kumdhibiti mwanamme uko mikononi mwa mwanamke mwenyewe kwa maana ya mahaba, vionjo na ubunifu wake hasa katika suala zima la malove dovey! Lakini pia ninaamini kuwa uwezo wa mwanamme kumdhibiti mwanamke wake uko mikonoi mwake yeye kwa maana ya mahaba na shughuli nzito ampayo mwandani wake!

Sasa inapofikia mwanamme kutoka nje ya mahusiano -kuwa na nyumba ndogo huwa tunaanza kunyooshewa vidole wanawake kuwa tumeshindwa kuwadhibiti either kwa kuwa hatuwapi mapenzi ya kutosha so mnakwenda nje kuyatafuta!

Swali je inapofikia mwanamke kutoka nje ya mahusiano/ kutokuwa na hamu na mwenzi wake/kuwa mchoyo wa penzi kwa maana ya kukutana kimwili na mwenzake e.t.c tuichukulie kuwa ni failure yenu kuturidhisha au? Maana si huwa mnasema mwanaume anao uwezo wa kukupa mambo kiasi kwamba wengine wote unawaona si mali kitu? au huwa ni majigambo tu?

MJ1

Mimi nadhani kwenda nje kwa mwanamke au mwanaume nifailure ya both parties, period!!!

hata turemmber vipi, kuna mchango wa kila mmoja katika hilo tatizo
 
HApo ndipo ninapopataka mimi. Haya mambo ya eti bwana fulani kaamua kuwa na nyumba ndogo kwa vile mkewe hamridhishi mie siyaelewi. Ndo mana nikauliza hivyo kwa sababu kwa hali ya kawaida kama mwanamke anafikishwa kunako kwa maana ya kuwa mziki wa mwenzake unamdatisha si ina maana hatakuwa anawatamani mwengine? kwa hivo akitoka nje ina maana mumewe/bf wake ameshindwa kumdatisha vilivyo au siyo?

...hapana, kutoka nje kuna sababu nyingi tu hiyo ya kutoridhishwa. kutofikishwa ni mojawapo tu.

Kuna wengine hutoka kwa sababu ya 'ulafi tu', yaani hata 'ashibishwe' vipi yeye anataka zaidi na zaidi, ...humu unawakuta sana wanaotembea na ma house girls, viserengeti Boys, nyumba ndogo nk

Kuna wengine hutoka nje ajipatie kitu fulani, kama ni msaada wa kifedha, security kazini, 'ego' kwamba naye asifiwe katembea na fulani... nk hili hufanyika sana kwa wanafunzi, wafanyakazi 'mapepe', ama wenye IQ ndogo kama hao...

Kuna wengine hutoka nje kwa kujiliwaza, ama kulipiza kisasi, kama kumkomoa fulani, nk...ambamo kwenye kundi hili sana 'mashoga' huwafanyia wanawake wenzao...ama wale ambao wamegundua wenza wao wame cheat, na kwamba njia pekee wanayoona inaweza kuponya kidonda ni naye 'kufanya kweli!'

MJ'1 nikirudi kwenye hoja yako, kuna wanawake kwa wanaume wengi tu ambao 'wapo fiti kwenye uwanja wa nyumbani na viwanja vya ugenini pia'...watu hao 'wakifumaniwa', husingizia eti hawatosheki nyumbani wakati kumbe ni ulafi wao tu!
 


MJ'1 nikirudi kwenye hoja yako, kuna wanawake kwa wanaume wengi tu ambao 'wapo fiti kwenye uwanja wa nyumbani na viwanja vya ugenini pia'...watu hao 'wakifumaniwa', husingizia eti hawatosheki nyumbani wakati kumbe ni ulafi wao tu!

kale ni kaugonjwa aisee, utawakuta hata barabarani wako na partners wao lakini mimacho dungu na shingo feni kutwa kuangalia vya watu:p
 
wengi wao wanafanya mambo kama hayo kwa tamaa za kimwili tu na si mapenzi au kuridhishana
just maamuzi tu
 
Ndio Brooklyn na Mr Mbu

nimewakubali tatizo kuuuubwa sana na vyanzo vikuuu vyake kwa kuanzia tu na mtaendelea kuongezea:

1: Tamaaaa ya kimwili
2: Ugumu wa Maisha
3: Kuomba kazi au kuumpa kazi
4: Jeuri ya kuwa na pesa nyingi
5:..........
6:...........
7:..............
 
wengi wao wanafanya mambo kama hayo kwa tamaa za kimwili tu na si mapenzi au kuridhishana
just maamuzi tu
Cudita aksante sasa kama huwa ni maamuzi why mwanaume akitoka nje watu wanamsema mwanamke wake kuwa ameshindwa kumdhibiti? Ila akitoka mwanamke anaambiwa malay.
 
Tabia ya mtu ni tabia yake tuu, na kamwe hawezi kuiga ya mtu mwingine, .... maana yake ni kuwa, kama ulizoea kutafuta mapenzi ya ziada hata ukiwa na anayekuridhisha kwa kiasi choote alichojaaliwa na mungu ni lazima utatafuta mengine, hii ni kama sumu ikiwa kwako ni lazima itoe matokeo yake. Kwahiyo swala la kutokuridhishwa sio kweli, ni tabia ya mtu aliyonayo tokea siku ya kwanza anaaanza kujua mamboz ni nini!....
 
HApo ndipo ninapopataka mimi. Haya mambo ya eti bwana fulani kaamua kuwa na nyumba ndogo kwa vile mkewe hamridhishi mie siyaelewi. Ndo mana nikauliza hivyo kwa sababu kwa hali ya kawaida kama mwanamke anafikishwa kunako kwa maana ya kuwa mziki wa mwenzake unamdatisha si ina maana hatakuwa anawatamani mwengine? kwa hivo akitoka nje ina maana mumewe/bf wake ameshindwa kumdatisha vilivyo au siyo?

Hapana. Wengine pia ni suala la kupenda variety. Hii inawahusu wote, wanawake na wanaume. Chungwa na embe yote matamu. Si sawa na upenzi wa timu za futiboli kuwa mshabiki wa Man U hawezi kushabikia Arsenal!

Mwanamume ana mwanamke mwembamba ndani, anamdatisha vilivyo, lakini anapenda pia utamu wa yule mwenye 'tukunyema'! Mwanamke ana mwanaume flani anayemdatisha haswa, lakini anajua kuwa wanaume wengine pia wana utundu tofauti kwenye majamboz licha ya maumbile kutofautiana, na hivyo anataka kupata ladha tofauti.

Tuzungumzie kuridhika, sio kutosheka
 
Niliwahi kusoma sehemu Mwanamke jimama kapewa mambo na kidume (kiwete) guest mpaka akatoka nduki duh sasa ukipata mume wa hivyo si utaona wengine hamna kitu!
 
Hamna cha kudhibitiana swala ni kuridhiana na kuona nafsi yako ni sawa na ya mwenzako
 
Mpenzi ndio maana nikaweka na hiyo ya malavidavi mengine! Kitanda pekee hakitoshi kumtuliza njiwa tunduni mpenzi wangu! The bottom message ya hii thread ni kuwa wote wanawake kwa wanaume tunawajibishwa kuyalinda mahusiano yetu isichukuliwe kuwa mwanaume akitoka nje basi ni mwanamke anayelaumiwa kwa kutunza kumdhibiti na mwanamke akitoka ni malay au mwenye tamaa. Ewe baba ukisikia au kugundua mkeo amechepuka na kiserengeti au jibaba basi anza kwanza kujichungua wewe mwenyewe mapungufu yako kabla ya kukimbilia kumtwanga talaka na matusi juu!! Loh sihalalishi wanawake watoke nje
Thanks dear, nikweli tunachotaka ni tupewe haki yetu sio kuonewa tuu kila siku na kumbe mwenye shida ni yeye. Kha, wa baba amkeni, mmelala sana enzi hizi.
 
hilo nalo neno! m/ume au m/mke kutoka nnje ya ndoa ni 'hulka' chafu tu! hakuna lolote!
 
Back
Top Bottom