TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,887
- 11,282
Ni wazo tu ndugu zanguni msinitafune
Mara nyingi tunaambiwa uwezo wa kumdhibiti mwanamme uko mikononi mwa mwanamke mwenyewe kwa maana ya mahaba, vionjo na ubunifu wake hasa katika suala zima la malove dovey! Lakini pia ninaamini kuwa uwezo wa mwanamme kumdhibiti mwanamke wake uko mikonoi mwake yeye kwa maana ya mahaba na shughuli nzito ampayo mwandani wake!
Sasa inapofikia mwanamme kutoka nje ya mahusiano -kuwa na nyumba ndogo huwa tunaanza kunyooshewa vidole wanawake kuwa tumeshindwa kuwadhibiti either kwa kuwa hatuwapi mapenzi ya kutosha so mnakwenda nje kuyatafuta!
Swali je inapofikia mwanamke kutoka nje ya mahusiano/ kutokuwa na hamu na mwenzi wake/kuwa mchoyo wa penzi kwa maana ya kukutana kimwili na mwenzake e.t.c tuichukulie kuwa ni failure yenu kuturidhisha au? Maana si huwa mnasema mwanaume anao uwezo wa kukupa mambo kiasi kwamba wengine wote unawaona si mali kitu? au huwa ni majigambo tu?
MJ1
Mimi nadhani kwenda nje kwa mwanamke au mwanaume nifailure ya both parties, period!!!
hata turemmber vipi, kuna mchango wa kila mmoja katika hilo tatizo