MahedeMkorofi
Member
- Jul 12, 2016
- 74
- 123
Wana Jamvi naombeni mnisaidie katika hili,
Wiki kadhaa zilizopita tulishuhudia waziri mkubwa akiagwa pale airport akiwa kwenye bombardier akielekea Dodoma. Ilisemekana alikuwa anatekeleza agizo la Mheshimiwa Rais, hata alipowasili vyombo vya habari vilionyesha ziara zake alizofanya akiwa Dodoma.
Lakini jambo linalonoshangaza, wiki yote hii waziri mkubwa yuko Dar kwenye ofisi yake ile ile ya siku zote.
Tumeshuhudia akiendelea na majukumu yake kama kawaida.
Inamaana majukumu yake ameshindwa kuyafanyia Dodoma?
Wiki kadhaa zilizopita tulishuhudia waziri mkubwa akiagwa pale airport akiwa kwenye bombardier akielekea Dodoma. Ilisemekana alikuwa anatekeleza agizo la Mheshimiwa Rais, hata alipowasili vyombo vya habari vilionyesha ziara zake alizofanya akiwa Dodoma.
Lakini jambo linalonoshangaza, wiki yote hii waziri mkubwa yuko Dar kwenye ofisi yake ile ile ya siku zote.
Tumeshuhudia akiendelea na majukumu yake kama kawaida.
Inamaana majukumu yake ameshindwa kuyafanyia Dodoma?