Ni Waziri Mkuu yupi aliyehamia Dodoma?

Ni Waziri Mkuu yupi aliyehamia Dodoma?

MahedeMkorofi

Member
Joined
Jul 12, 2016
Posts
74
Reaction score
123
Wana Jamvi naombeni mnisaidie katika hili,

Wiki kadhaa zilizopita tulishuhudia waziri mkubwa akiagwa pale airport akiwa kwenye bombardier akielekea Dodoma. Ilisemekana alikuwa anatekeleza agizo la Mheshimiwa Rais, hata alipowasili vyombo vya habari vilionyesha ziara zake alizofanya akiwa Dodoma.

Lakini jambo linalonoshangaza, wiki yote hii waziri mkubwa yuko Dar kwenye ofisi yake ile ile ya siku zote.

Tumeshuhudia akiendelea na majukumu yake kama kawaida.

Inamaana majukumu yake ameshindwa kuyafanyia Dodoma?
 
Wana Jamvi naombeni mnisaidie katika hili,

Wiki kadhaa zilizopita tulishuhudia waziri mkubwa akiagwa pale airport akiwa kwenye bombardier akielekea Dodoma. Ilisemekana alikuwa anatekeleza agizo la Mheshimiwa Rais, hata alipowasili vyombo vya habari vilionyesha ziara zake alizofanya akiwa Dodoma.

Lakini jambo linalonoshangaza, wiki yote hii waziri mkubwa yuko Dar kwenye ofisi yake ile ile ya siku zote.

Tumeshuhudia akiendelea na majukumu yake kama kawaida.

Inamaana majukumu yake ameshindwa kuyafanyia Dodoma?
atakuwa bado anajipanga...nia ya kwenda dodoma ipo..
 
Wana Jamvi naombeni mnisaidie katika hili,

Wiki kadhaa zilizopita tulishuhudia waziri mkubwa akiagwa pale airport akiwa kwenye bombardier akielekea Dodoma. Ilisemekana alikuwa anatekeleza agizo la Mheshimiwa Rais, hata alipowasili vyombo vya habari vilionyesha ziara zake alizofanya akiwa Dodoma.

Lakini jambo linalonoshangaza, wiki yote hii waziri mkubwa yuko Dar kwenye ofisi yake ile ile ya siku zote.

Tumeshuhudia akiendelea na majukumu yake kama kawaida.

Inamaana majukumu yake ameshindwa kuyafanyia Dodoma?

Uchochezi, huitakii mema nchi yetu. Dodoma maana yake nini? Dodoma ni DAR
 
Back
Top Bottom