Inartia
JF-Expert Member
- Aug 24, 2016
- 1,284
- 1,305
Sasa yule anaimba nini, mi naona anazungumza tu, upuuzi mtupu, atafute kazi afanye, analazimisha tuKing Crazy Gk hit songs
1.Simba wa Africa
2.Sauti ya Manka
3.Sister sister ft.Pauline Zongo
4.Tutakukumbuka ft.Tid
5.Nitakufaje
6.Miiko 10 ya rap
7.Hii leo ft. AY & FA
Bila kusahau mipini kibao aliyotoa na East Coast Team, though nakubali Amiri Jeshi mkuu ameishiwa
Wengine mnatie aibu kama hamjui mziki kalaleni hadi jux??