Tanzania kama hatujaweka sheria ya kuwatandika watu risasi hadharani kwa kutoa au kupokea rushwa basi haitaisha.
Wapokea na watoa rushwa wa kwanza ni watunga sheria, nao ni wabunge wa bunge la JMT. Kwanini hawatungi sheria kali za kupambana na rushwa?
tayari wamekula rushwa ili wasitunge sheria hiyo, ushahidi ni huu, siku walipoiita rushwa kwa jina la takrima.