Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 11,187
- 22,816
Shule namaliza sina pa kujishikiza, nabaki najiuliza nitafanya kazi gani? Kwenye kila kampuni kazi haipatikani.
Heri kilimo ingekuwa ni nafuu, lakini pembejeo nazo leo bei juu. Heri kwa watoto wa Wakuu wanaopata kazi kwa kupitia wazazi. Hii siyo sawa kwao hii ni sawa. Mungu awape nini labda gunia la chawa.
Na sasa nareport, natafuta passport nasafiri kikafiri. Popote nitafika hata South Afrika. Nyumbani nmechoka nazidi nyanyasika. Polisi wanisaka naonekana kibaka.sababu sina kazi au sababu ya Mavazi.
Ni wapi tunakwenda?
Heri kilimo ingekuwa ni nafuu, lakini pembejeo nazo leo bei juu. Heri kwa watoto wa Wakuu wanaopata kazi kwa kupitia wazazi. Hii siyo sawa kwao hii ni sawa. Mungu awape nini labda gunia la chawa.
Na sasa nareport, natafuta passport nasafiri kikafiri. Popote nitafika hata South Afrika. Nyumbani nmechoka nazidi nyanyasika. Polisi wanisaka naonekana kibaka.sababu sina kazi au sababu ya Mavazi.
Ni wapi tunakwenda?