Najua sana tu. Penye AMANI pana UTULIVU unaokuja kama matokeo ya AMANI. Ila unaweza kuwa na UTULIVU bila ya kuwepo na AMANI. Ukienda gerezani mfano kuna UTULIVU wa hali ya juu na unauonekana dhahiri ila hakuna AMANI kwa sababu utulivu ule siyo matokeo ya AMANI. Iwe waitu umeeeeeeeelewa?
Imefanikiwa Kwenye AMANI, UTULIVU, MSHIKAMANO na MUUNGANO wetu wa kupigiwa mfano Afrika nzima.
Imefanikiwa Kwenye AMANI, UTULIVU, MSHIKAMANO na MUUNGANO wetu wa kupigiwa mfano Afrika nzima.
Imefanikiwa Kwenye AMANI, UTULIVU, MSHIKAMANO na MUUNGANO wetu wa kupigiwa mfano Afrika nzima.
Kwa hiyo kimsingi unakubaliana na hoja yangu ya awali kuwa kama hakuna AMANI basi kutakuwa na UTULIVU.Tata..sema kwenye utulivu na mshikamano wa maskini kwa masikini..ila AMANI hamna watu wengi wagonjwa na wana njaa sema hatuwaoni sababu ya UTULIVU hivyo tunahisi wana AMANI.
Nilikuwa najaribu Kufanya uchunguzi mdogo, kuona na eneo gani ambapo serikali yetu iliyo chini ya chama tawàla CCM. Kwa HAKIKA nimeshindwa kuona ni eneo gani ambapo serikali imemudu kufanya vizuri kabisa.
Hebu jaribu kuangalia maeneo yafuatayo( kama mifano tu)
1. Elimu: Shule za serikali ni matatizo makubwa.
2. Afya: Hospitali za serikali ni shida kubwa kuliko kawaida.
3.Usafirishaji: Barabara ni ajali kila kukicha. Bandarini ni malalamiko ya ubovu wa miundo mbinu, rushwa n.k. Usafiri wa ndege ( ATC) ni taabani, Uwanja wa ndege Dsm, mbovu, rushwa n.k.
4. Utumishi: Watumishi wa serikali kila siku ni malalamiko ya hali duni ya maisha, yanayosabàbisha utendaji mbovu ktk ofisi za serikali.
5. Kilimo: Hakuna miundombinu rafiki kwa wakulima. Wakulima wamekuwa yatima!
6. Posta na Simu: Chali !! Hakuna kinachoendelea huko!
Jamani, ivi ni sehemu gani ambapo serikali imefanya angalau kutufanya wananchi (wapigakura) tujivunie?? Au ni Intelligencia ya polisi PEKEE ndo iko vizuri? Inawezekana ...!!
Wana JF nisaidieni kunikumbusha basi. Kama sivyo nini kifanyike ili angalau tuwe na eneo moja la kujivunia??
Ongeza na foleni za magari.njeleson
Mkuu huko ulikojikita kutafuta mafanikio ya serikali kwenye maendeleo ya wananchi siko. Ukitaka kutafuta mafanikio ya serikali yetu jikite kwenye Esrow, epa, richmond na maufisadi ya namna mbalimbali yanayofanywa na viongozi.
Na research yako wewe ni kuhudhuria mikutano yao. Kule utakuta wanajisifu mambo ya majoka yenye makengeza, hela za mboga nk.Ukitaka kutafuta serikali ilikoshindwa 100% ndo ujikite kwenye hizo mada zako 6.
Kama umeenda shule kidogo utaelewa kuwa AMANI na UTULIVU ni vitu viwili tofauti. Na kama kimojawapo hakipo Tanzania basi lazima kingine kipo. MSHIKAMANO upo kwa hakika japo tunaanza kuona mmomonyoko wa mshikamano. MUUNGANO upo na anayebisha ana matatizo. Kinacholeta mtafaruku kwa sasa ni muundo wa muungano.
sikuwahi kujua Kuwa kadri mtu anavyobobea katika wizi ndivyo hata akili yake inapukutika.huyu jamaa ufisadi umeshapukutisha medula yake kitambo
Emh tupe mfano wa serikali iliyofikia hiyo 100% na utuambie kwanini bado ipo madarakan!
Kama ufisadi unapukutisha mbongo kwa kiasi hiki?basi tuache wizi otherwise hata watoto wetu watatushangaa,Ikishafanikiwa 100% itakuwa na kazi ipi tena?
Wewe binafsi yako umeshafanikiwa 100%?
Kwenye ufisadi mafanikio110%
Kama ufisadi unapukutisha mbongo kwa kiasi hiki?basi tuache wizi otherwise hata watoto wetu watatushangaa,