Nilikuwa najaribu Kufanya uchunguzi mdogo, kuona na eneo gani ambapo serikali yetu iliyo chini ya chama tawàla CCM. Kwa HAKIKA nimeshindwa kuona ni eneo gani ambapo serikali imemudu kufanya vizuri kabisa.
Hebu jaribu kuangalia maeneo yafuatayo( kama mifano tu)
1. Elimu: Shule za serikali ni matatizo makubwa.
2. Afya: Hospitali za serikali ni shida kubwa kuliko kawaida.
3.Usafirishaji: Barabara ni ajali kila kukicha. Bandarini ni malalamiko ya ubovu wa miundo mbinu, rushwa n.k. Usafiri wa ndege ( ATC) ni taabani, Uwanja wa ndege Dsm, mbovu, rushwa n.k.
4. Utumishi: Watumishi wa serikali kila siku ni malalamiko ya hali duni ya maisha, yanayosabàbisha utendaji mbovu ktk ofisi za serikali.
5. Kilimo: Hakuna miundombinu rafiki kwa wakulima. Wakulima wamekuwa yatima!
6. Posta na Simu: Chali !! Hakuna kinachoendelea huko!
Jamani, ivi ni sehemu gani ambapo serikali imefanya angalau kutufanya wananchi (wapigakura) tujivunie?? Au ni Intelligencia ya polisi PEKEE ndo iko vizuri? Inawezekana ...!!
Wana JF nisaidieni kunikumbusha basi. Kama sivyo nini kifanyike ili angalau tuwe na eneo moja la kujivunia??
Hebu jaribu kuangalia maeneo yafuatayo( kama mifano tu)
1. Elimu: Shule za serikali ni matatizo makubwa.
2. Afya: Hospitali za serikali ni shida kubwa kuliko kawaida.
3.Usafirishaji: Barabara ni ajali kila kukicha. Bandarini ni malalamiko ya ubovu wa miundo mbinu, rushwa n.k. Usafiri wa ndege ( ATC) ni taabani, Uwanja wa ndege Dsm, mbovu, rushwa n.k.
4. Utumishi: Watumishi wa serikali kila siku ni malalamiko ya hali duni ya maisha, yanayosabàbisha utendaji mbovu ktk ofisi za serikali.
5. Kilimo: Hakuna miundombinu rafiki kwa wakulima. Wakulima wamekuwa yatima!
6. Posta na Simu: Chali !! Hakuna kinachoendelea huko!
Jamani, ivi ni sehemu gani ambapo serikali imefanya angalau kutufanya wananchi (wapigakura) tujivunie?? Au ni Intelligencia ya polisi PEKEE ndo iko vizuri? Inawezekana ...!!
Wana JF nisaidieni kunikumbusha basi. Kama sivyo nini kifanyike ili angalau tuwe na eneo moja la kujivunia??