Principle girl
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 1,675
- 1,755
Habari waungwana,ninahitaji kufanya biashara ya mafuta ya kupakaa mwilini ambayo ninayatengeneza mwenyewe,lakini sijajua mahali ambapo nitaweza kupata vikopo kwa ajili ya kuhifadhia hayo mafuta mwenye kufahamu ni wapi vinapatikana naomba anifahamishe.