mzungukichaa
Member
- Nov 8, 2010
- 57
- 27
(Kiswahili cha jirani...uelewe tu...)
Wanawake to ndio wenye...
1. Atakua na simu kwa nyumba kidogo kidogo anakuambia umbeep ju hajui ameweka wapi!!
Tuhurumie Baba
2. Ako na furushi la nguo kwa nyumba lakini hanaga kitu ya kuvaa mkienda mahali!!
Tuonekanie Baba
3. Anakasirika ukikosa kumtumia text ya good nyt lakini yeye akikosa we unafaa ku understand!!
Waelewe Baba
4. Ako na viatu pair kama 50 lakini hanaga viatu za kuvaa akienda church!!
Mungu wasamehe
5. Akianza kuvaa saa moja atamaliza saa tano na unafaa kumngoja hizo masaa zote!
si kupenda kwao Baba
6. Akienda salon anakaa kutoka asubuhi mpaka jioni na unafaa kumngoja pia na usilalamike!!
Tupe moyo Baba
7. Ako na mafuta different ya kujipaka mikono, shingo, kisogo miguu, ---- mpaka kisigino!!
Mungu ni wewe uyajuaye haya
8......endeleza uchambuzi
Wanawake to ndio wenye...
1. Atakua na simu kwa nyumba kidogo kidogo anakuambia umbeep ju hajui ameweka wapi!!
Tuhurumie Baba
2. Ako na furushi la nguo kwa nyumba lakini hanaga kitu ya kuvaa mkienda mahali!!
Tuonekanie Baba
3. Anakasirika ukikosa kumtumia text ya good nyt lakini yeye akikosa we unafaa ku understand!!
Waelewe Baba
4. Ako na viatu pair kama 50 lakini hanaga viatu za kuvaa akienda church!!
Mungu wasamehe
5. Akianza kuvaa saa moja atamaliza saa tano na unafaa kumngoja hizo masaa zote!
si kupenda kwao Baba
6. Akienda salon anakaa kutoka asubuhi mpaka jioni na unafaa kumngoja pia na usilalamike!!
Tupe moyo Baba
7. Ako na mafuta different ya kujipaka mikono, shingo, kisogo miguu, ---- mpaka kisigino!!
Mungu ni wewe uyajuaye haya
8......endeleza uchambuzi