Qaymo moja
Senior Member
- Sep 1, 2017
- 133
- 53
Maumivu makubwa ccm inapata kila siku
Hayo Majiji yanaongozwa kwa Ilani gani? CHADEMA imeuwawa kizembe sana na Mbowe aliyejiokotea oil chafu toka CCM. Nilishngaa kusikia Sumaye huyuhuyu akiinanga CCM inayompa kushiba hadi Leo? Mzaha gani huu?Chama kimeshika majiji yote chini ya mbowe kwako ww mafanikio ni nini?mtu yeyote anaye kubali kununuliwa hulaaniwa fuatilia historia ya yuda escaliuti
Maumivu ni kwa chama kinachokuwa kupoteza wanachamaMaumivu makubwa ccm inapata kila siku
Slaa ameondoka chadema kumpinga fisadi full stopMnamwona Mbowe mjinga wakati amewachukulia nusu ya nchi afu unaumia tena unataka akuchukue wewe
Ccm mnataka Mbowe aachie kiti ili mwahadae wanachadema ?Na kama kweli una Nia njema na Chadema kwanini hujui issue iliyomtoa Dr ,Slaa kwenye Chama
Chadema ni kimbilio la wahalifu kutoka CCM
Umeanza utabili?Kushika majiji yote ilikuwa ni "pi" kwa kuwa kazi kubwa sana ilifanywa na Slaa na wanachadema asilia.2015 ilikuwa ni zaidi ya majiji kama ushauri wa Slaa ungefuatwa.
Opportunity iliyopotea 2015 inabadilika na kuwa kaburi la Chadema.
Ninyi huko CDM sijajua akili zenu ziko wapi?
Mnashindwa hata kujua kuwa mnatekeleza ILANI ya CCM?
ILANI inayotekelezwa sasa ni ya CCM haijalishi wewe ni mpinzani au la.
Je Masha ni YudaChama kimeshika majiji yote chini ya mbowe kwako ww mafanikio ni nini?mtu yeyote anaye kubali kununuliwa hulaaniwa fuatilia historia ya yuda escaliuti
Wee angalia siasa za kipindi cha dok Slaa na sasa, maan wewe nawe kama umelewa togwaChama kimeshika majiji yote chini ya mbowe kwako ww mafanikio ni nini?mtu yeyote anaye kubali kununuliwa hulaaniwa fuatilia historia ya yuda escaliuti
Slaa alikuwa vizuri tatizo ni shuntamà yà lile pashkuna la kihaya, na kwa vile Dr. machejo aliyajulia uzeeni kazi ilikuwa rahisi.Wee angalia siasa za kipindi cha dok Slaa na sasa, maan wewe nawe kama umelewa togwa