SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Acha vijana wa ufipa waje uone hilo povu Lao!
Maana wao hawapendi kuambiwa ukweli dawa yao ni uongo tu.
Umesahau kuwa nyie mkiambiwa ukweli mnawamiminia risasi za SMG wakosoaji?
Acha vijana wa ufipa waje uone hilo povu Lao!
Maana wao hawapendi kuambiwa ukweli dawa yao ni uongo tu.
Kwani hapo zamani yalikuwa yananihusu nini?Wewe ni kada wa ccm, ya chadema yanakuhusu nini??
Mada ipo nje ya upeo wako wa kufikiri. Waache wataalamu wa njia ya kuelekea ikulu watuelekeze wapi tumekosea mpaka tumepotea namna hii!Maccm achaneni na mambo ya Chadema, tunajua Dr. Slaa yuko kwenye payroll yenu kama Chadema inaharibikiwa si ndiyo furaha kwenu? Wacheni umbwiga, pambaneni na ya kwenu.
Mada ipo nje ya upeo wako wa kufikiri. Waache wataalamu wa njia ya kuelekea ikulu watuelekeze wapi tumekosea mpaka tumepotea namna hii!
Umesahau kuwa nyie mkiambiwa ukweli mnawamiminia risasi za SMG wakosoaji?
Haikuwahi kufanya uchaguzi lakini ni bora wanaopokeana kijiti wanakuja na upeo na uwezo tofauti kuliko aliyekaa madarakani na kujimilikisha chama cha wananchi.Hivi Ccm ni lini mlishawahi kuchagua/kufanya uchaguzi wa mwenyekiti wa chama chenu toka chama kiundwe????.
Hilo ndio tatizo linalowakumba chadema ya kizazi hiki hata makosa kadhaa yanayofanywa na viongozi wanayafumbia macho. God bless CHADEMAMpaka sasa Chadema wapo katika njia sahihi, hakujawahi kuwa na chadema yenye utulivu na nguvu kubwa kuliko hii ya sasa, huo ushauri wenu mpelekeeni mwenyekiti wa ccm
Mugabe wa ChademaFM hakuna tofauti na Robert Mugabe.
Halafu wanajidai ni wapambanajiCDM sasa kimekuwa ni GENGE la wala rushwa, wezi na vibaraka wa mabeberu.