Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,829
- 4,167
View attachment 16377 View attachment 16376
Hata mwanangu wa miaka miwili anajua Lowasa ni fisadi.
Nilimuonesha jana kwenye TV.
Nikamuita: "mwanangu njoo uone fisadi kwenye TV". Akaja.
Hawa CCM tunawaweza. Ni suala la kuthubutu tu.
Jamani nisaidieni hivi swala la uspika makamba anahusikavipi,mbona inakuwa kama ni ishu ya chama?
View attachment 16377 View attachment 16376
Hata mwanangu wa miaka miwili anajua Lowasa ni fisadi.
Nilimuonesha jana kwenye TV.
Nikamuita: "mwanangu njoo uone fisadi kwenye TV". Akaja.
Hawa CCM tunawaweza. Ni suala la kuthubutu tu.
Mkuu na mimi nataka hiyo kadi mpaka niende pale kinondoni?
Jana mtoto wangu wa miaka mitano alirudi shuleni analia nikamuuliza kulikoni unalia akasema amechapwa shuleni kwa vile hajatoa mchango wa dawati, kwa kumtia machungu nikamwambia mbona hela nilimpa Lowassa aje kukulipia akanijibu Lowassa hajamuona akja shuleni. Leo wakati tunaangalia kuapishwa kwa Kikwete alipotelemka Lowassa nikamwonyesha YULEEEEE mwenye nywele nyeupe mtoto alikasirika sana. Najaribu kumtia machungu mtoto wangu ajue mapema mwizi wetu wa taifa ni nani.View attachment 16377 View attachment 16376
Hata mwanangu wa miaka miwili anajua Lowasa ni fisadi.
Nilimuonesha jana kwenye TV.
Nikamuita: "mwanangu njoo uone fisadi kwenye TV". Akaja.
Hawa CCM tunawaweza. Ni suala la kuthubutu tu.
Mkuu nami ninataka nijiunge na chadema niongeze nguvu. nitapataje kadi?
Kesho nachukua 10 kwa ajili ya familia yangu. Sipotezi muda. Hata kama kuna foleni namna gani, nitasubilia
Kesho nachukua 10 kwa ajili ya familia yangu. Sipotezi muda. Hata kama kuna foleni namna gani, nitasubilia
Makamba anahusika kichama kwani anawatangazia wabunge wa CCM wanaotaka kugombea nafasi hiyo wachukue fomu. Mimi sioni kosa kwenye hilo kwani ni katibu wa CCM.Jamani nisaidieni hivi swala la uspika makamba anahusikavipi,mbona inakuwa kama ni ishu ya chama?
Ofisi za Chadema zitakuwa wazi kwa kipindi hiki cha kupokea matokeo toka kwa wakala ukizingatia kesho Rais wangu anaongea na vyombo vya habari definitely zikuwa wazi.wanafungua??
View attachment 16377 View attachment 16376
Hata mwanangu wa miaka miwili anajua Lowasa ni fisadi.
Nilimuonesha jana kwenye TV.
Nikamuita: "mwanangu njoo uone fisadi kwenye TV". Akaja.
Hawa CCM tunawaweza. Ni suala la kuthubutu tu.
Nenda Kino.
Zinapatikana kwa foleni mkuu.