Ni wakati wa polisi kuonesha mshikamano

Ni wakati wa polisi kuonesha mshikamano

Kakende

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2012
Posts
2,741
Reaction score
1,233
Moja kati ya mashariti makubwa ya jeshi lolote duniani ni kutooji amri yoyote inayotoka kwa mkuu wako wa kazi. Polisi mmekuwa mkiua watu ovyo ovyo utafikiri nyie siyo sehemu ya jamii, au kama vile mmetokana na mawe na siyo kupitia tumbo la mwanamke.

Kama kweli kuna viongozi wa juu wamewatuma kuwa mnaua watu ovyo ovyo utafikiri kuna kiwanda cha kuumba watu, basi hili ni fundisho kwenu kwani mmeumbuka vibaya sana. Mlidhani tena mngesingizia kuwa chuma kizito kimeua mwandishi lakini kumbe this time camera imewanasa mkimshambulia mwandishi wa habari kama fisi wenye njaa ya wiki 3.

Kama kweli kuna viongozi wamewatuma kuua, basi na nyie msikubali wenzenu wahukumiwe peke yao, hakikisha mnawataja, ikibidi gomeni kama liwalo na liwe
 
I'm sick and tired of this, don't we have something else to discuss?

How can we stop while they are still killing us?, we should not be the community of dealing with hot issues and abandon the past
 
.. Hakuna haki wala haki haitatendeka iwapo wafuatao hawatajiuzulu au kuchomolewa na Kikwete kupisha uchunguzi:1. Waziri Nchimbi;2. Mkuu wa mkoa wa IRINGA; 3. RPC;4. Mkuu wa wilaya;5. OCD; na 6. mkuu wa upelezi mkoa (RCO), 7. Chagonja.
 
kuna watu 32 walioshikwa? sio Polisi waliofanya kitendo kile. (taarifa toka Polisiccm)
 
kama umetired si ufe unatulazimisha wote tuchoke,au anisha mada ingine uone kama hatukuichangia.
 
Back
Top Bottom