Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,478
- 24,345
Ili kubana matumizi vyema sioni sababu mawizara kuwa na madereva wengi kiasi hiki?
wakishawafikisha mabosi maofisini hulala na kusinzia weee..
mpaka saa 10 jioni hupangusa magari tayari kuwarudisha mabosi majumbani NA kupaki magari, siku imepitaaaa....
*SEREKALI ITAFUTE UTARATIBU MZURI.
wakishawafikisha mabosi maofisini hulala na kusinzia weee..
mpaka saa 10 jioni hupangusa magari tayari kuwarudisha mabosi majumbani NA kupaki magari, siku imepitaaaa....
*SEREKALI ITAFUTE UTARATIBU MZURI.