Ndugu Yusuf Mehboub Manji, Bwana Makonda alikuchafua sana na harakati zako za kumpeleka kwenye vyombo vya sheria ziligonga mwamba kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wako. Ila sasa upepo unaruhusu. Ni muda wa kutafuta haki yako iliyotaka kupotea.
Wasalaam!
Wasalaam!