Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Wadau kuna tabia inajitokeza hivi sasa kwa baadhi ya wanandoa kutokeapo kutokuelewana ama mataiizo baina yao basi moja kwa moja upande unaoona kuonewa huamua kwenda kuyasema matatizo ama kutafuta ushauri nje.
Matatizo ya ndoa yapo mengi na kila ndoa ina matatizo yake; Je ni upi muda muafaka na baada ya kuwa hatua gani zimechukuliwa ndio ikulazimu uende nje ya mipaka ya ndoa kutoa duku duku lako iwe ni kwa wazazi, marafik,i ndugu; wazee, viongozi wa dini na kadhalika?
Je ni kweli uwaalikapo watu wa nje kumaliza tatizo lako la ndoa wankuwa na tiba ya kweli na ya kudumu ya ndo yenu ama ndio kuukuza mgogoro?
Je ni yapi pia utawashirikisha hawa watu wa nje ama kila kitu?
Tuelimishane.
Matatizo ya ndoa yapo mengi na kila ndoa ina matatizo yake; Je ni upi muda muafaka na baada ya kuwa hatua gani zimechukuliwa ndio ikulazimu uende nje ya mipaka ya ndoa kutoa duku duku lako iwe ni kwa wazazi, marafik,i ndugu; wazee, viongozi wa dini na kadhalika?
Je ni kweli uwaalikapo watu wa nje kumaliza tatizo lako la ndoa wankuwa na tiba ya kweli na ya kudumu ya ndo yenu ama ndio kuukuza mgogoro?
Je ni yapi pia utawashirikisha hawa watu wa nje ama kila kitu?
Tuelimishane.