jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,063
- 28,263
Ni members wa hili jamvi wachache sana ambao ni viongozi na walijipambanua wazi wazi kuwa sehemu ya Great thinkers bila kujali jicho hasi la baadhi ya wanasiasa dhidi ya JF.
Kati ya viongozi hao yumo Paul Makonda.
Ni wajibu wetu kumtetea mwanaJF huyu dhidi ya misukosuko isiyo na mashiko aliyokumbana nayo mara tu baada ya kuanzisha vita vya madawa ya kulevya.
Tunatakiwa kumpa courage zaidi ya kufika hapa jamvini kwa ufafanuzi wa mambo mbalimbali yanayohusu JIJI la Dar.
Great thinkers hawaendeshwi na mihemko ya kimaslahi...bali hufikiri,hujadili,huhukumu,husifia na kuchafua kwa haki na kwa ushahidi.
Kati ya viongozi hao yumo Paul Makonda.
Ni wajibu wetu kumtetea mwanaJF huyu dhidi ya misukosuko isiyo na mashiko aliyokumbana nayo mara tu baada ya kuanzisha vita vya madawa ya kulevya.
Tunatakiwa kumpa courage zaidi ya kufika hapa jamvini kwa ufafanuzi wa mambo mbalimbali yanayohusu JIJI la Dar.
Great thinkers hawaendeshwi na mihemko ya kimaslahi...bali hufikiri,hujadili,huhukumu,husifia na kuchafua kwa haki na kwa ushahidi.