Kuna mikoa ukisikia wanafunzi wanakaa chini unaweza usisikitike sana.....ila kwa hili la Tabora mkoa ambao una Madini na Misitu...inasikitisha sana...eti ndo wasomi wa kesho wa nchi hii......
Kwenye mazingira kama haya, kwa nini wazazi wasitafute solution ya Tatizo hili? watakuambia wanasubiri serikali wakati watoto wao ndo wanateseka.......Tunayoweza kufanya tusisubiri Serikali!!