Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,403
- 40,320
Ni vizuri kila mtu kwa nafasi aliyonayo kumfanya mwenzie awe rafiki yake, mfanyakazi mwenzie, ndugu yake, adui yake, mpita njia n.k kuwa na matumaini.
Inapendeza sana mtu anapokuona wewe...anajawa na furaha katika nafsi yake na kuamini ya kuwa wewe ni mtu wa kipekee.
Na ili ufikie hatua hiyo kuna vitu katika maisha yako unatakiwa uvirekebishe; kuanzia nidhamu binafsi, namna unavyotatua changamoto, namna unavyowajali watu, muonekano wa mavazi yako n.k
Wakuu naombeni muongeze zingine...
Inapendeza sana mtu anapokuona wewe...anajawa na furaha katika nafsi yake na kuamini ya kuwa wewe ni mtu wa kipekee.
Na ili ufikie hatua hiyo kuna vitu katika maisha yako unatakiwa uvirekebishe; kuanzia nidhamu binafsi, namna unavyotatua changamoto, namna unavyowajali watu, muonekano wa mavazi yako n.k
Wakuu naombeni muongeze zingine...