me siyo wa kishua ila mikono yangu inafanana kidogo na hyo pamoja na kufanya kazi ngumu, sa vp kwa jamaa ikiwa kazi yake ngumu n kifinyanga tonge la ugali unazan atakuwa na mikono ya namna gan
1. Kuna aina Fulani ya urembo hutengenezwa kwa kutumia karatasi
2.VIKOLOMBWEZO UMPE MTU GARI ( vifurushi vya kwa mtwaalam)
Kama Ni hiyo no2 usipate tabu njoo PM NIKUPE MAELEKEZO YA BUREEE KU DESTROY HAYO MAKITU
Jamani Gari huwa naicha sehemu wakati wa asubuhi jioni huwa naipitia ikiwa imeoshwa sasa Jana baada ya kufika nyumbani nimekuta kuna hivi vitu kwenye gari kinaweza kuwa nini??