Laivuchaguzi za marudio ni rahisi kwa CCM kushinda kwa msaada wa polisi, uchaguzi mkuu ni nchi nzima!! hakuna polisi wa kutosha kufanya wizi majimbo yote, hapo ni mkurugenzi tangaza matokeo tofauti umati ukuchune ngozi "laivu"
Ni sawa tu lakini ni bora kufa kishujaaaInabidi sasa tuuseme ukweli huu,
Kipindi kilichopita CHADEMA ilishaanza kushamiri sana maeneo mengi nchini, kuanzia Arusha, Dar es salaam ,Mbeya ,Bukoba mjini na Karagwe,
Lakin Tuwe wawazi muda huu kama una mpango wa kugombea ubunge maeneo yafuatayo
1.Mwanza
2.Geita
3.Kagera
4.Dodoma
5.Shinyanga
6.Dar es salaam
7.Arusha mjini
8. Mtwara
9.Lindi
10. Pwani
Bora ukapitia CCM, maana maeneo hayo kwa haraka hawana mwamko wa masuala ya upinzani, na pale ilipotokea wakawapa wapinzani ni kwa sababu ya mtafaruku ndani ya chama tawala,
Mpaka sasa hata hao wabunge wa Upinzani hawana uhakika na nafasi zao
1.Kawe
2.Hai
3.Arusha mjini
4.Bukoba mjini
5. Iringa
6. Mbeya mjini
7. Ubungo
8. Kibamba
Hawa nawahakikishia hawatarudi bungeni, labda wahamie CCM itasaidia
By force majimbo hayo yatarudi CCM,
Tukutane 2020 November
Note that kwa maelezo maalumu wagombea watateuliwa ,yaan wanapita wale wa namna tutakayo
Kama unafikir uchaguzi ni wa haki cku zote. Think again.Hamna kitu kinachoitwa force maana kama ingekuwepo hata hao wasingepata huo ushindi hivyo acha kupotosha umma. Mtu anaekubalika atapigiwa kura na kura zikitosha atashinda. Kuhusu kurudi CCM kila mmoja anakaribishwa maana nyumbani ni nyumbani ila sio kwamba ukifika tu CCM unapata uongozi, hapana! Bali kama una sifa na unastahili.
Wasalaam
#DG
Sijawahi tukana humu ujueHamna kitu kinachoitwa force maana kama ingekuwepo hata hao wasingepata huo ushindi hivyo acha kupotosha umma. Mtu anaekubalika atapigiwa kura na kura zikitosha atashinda. Kuhusu kurudi CCM kila mmoja anakaribishwa maana nyumbani ni nyumbani ila sio kwamba ukifika tu CCM unapata uongozi, hapana! Bali kama una sifa na unastahili.
Wasalaam
#DG
CCM ilipitia Magumu toka asili ya kuanzishwa kwake.2020 utakuwa wakati mgumu sasa kwa ccm
Nimetumia akili mkuu na huo ndo mtizamo wangu.Sijawahi tukana humu ujue
Tumia ata akili kidonchi basi
Wewe bado mtoto wa shule ndo maanaNimetumia akili mkuu na huo ndo mtizamo wangu.
#DG
Mbona uchaguzi mkuu mliangukia Puachaguzi za marudio ni rahisi kwa CCM kushinda kwa msaada wa polisi, uchaguzi mkuu ni nchi nzima!! hakuna polisi wa kutosha kufanya wizi majimbo yote, hapo ni mkurugenzi tangaza matokeo tofauti umati ukuchune ngozi "laivu"
mkuu vip ulifika Thai salama? ulikutana na sawadikaa. ukiweza fanya ziara mikoa ya pataya na punket. huko ni kama copa gabana Brazili. watoto wazur ila malaya sana na mapunga mengi sana.huko kunakuwaga na maeneo ya mashindano ya kugongana. usiache kutembelea soukomvit ukale fufu zaga zaga ugali wa mapopo.Inabidi sasa tuuseme ukweli huu,
Kipindi kilichopita CHADEMA ilishaanza kushamiri sana maeneo mengi nchini, kuanzia Arusha, Dar es salaam ,Mbeya ,Bukoba mjini na Karagwe,
Lakin Tuwe wawazi muda huu kama una mpango wa kugombea ubunge maeneo yafuatayo
1.Mwanza
2.Geita
3.Kagera
4.Dodoma
5.Shinyanga
6.Dar es salaam
7.Arusha mjini
8. Mtwara
9.Lindi
10. Pwani
Bora ukapitia CCM, maana maeneo hayo kwa haraka hawana mwamko wa masuala ya upinzani, na pale ilipotokea wakawapa wapinzani ni kwa sababu ya mtafaruku ndani ya chama tawala,
Mpaka sasa hata hao wabunge wa Upinzani hawana uhakika na nafasi zao
1.Kawe
2.Hai
3.Arusha mjini
4.Bukoba mjini
5. Iringa
6. Mbeya mjini
7. Ubungo
8. Kibamba
Hawa nawahakikishia hawatarudi bungeni, labda wahamie CCM itasaidia
By force majimbo hayo yatarudi CCM,
Tukutane 2020 November
Note that kwa maelezo maalumu wagombea watateuliwa ,yaan wanapita wale wa namna tutakayo
Na sasa nipo muda huu ni saa 11 usiku tunapishana six hours na east Africa zonemkuu vip ulifika Thai salama? ulikutana na sawadikaa. ukiweza fanya ziara mikoa ya pataya na punket. huko ni kama copa gabana Brazili. watoto wazur ila malaya sana na mapunga mengi sana.huko kunakuwaga na maeneo ya mashindano ya kugongana. usiache kutembelea soukomvit ukale fufu zaga zaga ugali wa mapopo.
najua ni mitaa yangu sana hiyo sema sipo huko ningekuchekNa sasa nipo muda huu ni saa 11 usiku tunapishana six hours na east Africa zone