Lukataluko
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 1,345
- 1,572
Mkuu wewe n punga.Naijua siasa kwa sababu mimi mwenyewe najihusisha na siasa, tukitazama kwa ujumla mwamko umekuwa mkubwa watu wameianza kuiamini serikali yao, kipindi cha kikwete hali ilikuwa tete kidogo ndio maana mambo yalienda kama hivyo unavyosema. Ila sasa things done change mwamko umekuwa mkubwa na upinzani unayumba hivyo CCM kushinda ni wananchi wameamua.
#DG