Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,695
- 2,553
haa haa kama ndani ya ccm huruhusiwi kumpinga mwenyekiti wakati wa uchaguzi, ndani ya ccm mwenyekiti anapambanishwa na kivuli, ili wanaccm wapige kura ya hapana ama ndiyo, ikiwa na maana moja, ndiyo huyo mwenyekiti au hapana mwingine.
Kile ni cha mapinduzi Na hiki ni cha demokrasia.