Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 8,581
- 22,048
Wakuu salamu kwenu heri na Baraka ziwe juu yenu.
Nimejiwa na wazo la kuwa na forum yenye maudhui ya kitamaduni, ushirikishwaji wa mambo mbali mbali kuhusu jamii fulani,lugha mama frusa , kukutanisha walio mbali. mila, historia na mambo mbali mbali lakini yakilenga jamii fulani hapa Tanzania mf wangoni au warangi au nyasa.
Sasa nilikua naomba kuuliza huwa inagarimu kiasi gani cha fedha, vifaa gani, ujuzi wa namna gani, na sheria za nchi zitaniruhusu?
Elimu yangu ni std 7, kiingereza nakijua kwa mbali kidogo, matumizi ya internet ninayo kiasi jee kwa sifa hizi zangu nakidhi vigezo?
Ni hayo tu wakuu, mujaliwe kila lenye heri.
Nimejiwa na wazo la kuwa na forum yenye maudhui ya kitamaduni, ushirikishwaji wa mambo mbali mbali kuhusu jamii fulani,lugha mama frusa , kukutanisha walio mbali. mila, historia na mambo mbali mbali lakini yakilenga jamii fulani hapa Tanzania mf wangoni au warangi au nyasa.
Sasa nilikua naomba kuuliza huwa inagarimu kiasi gani cha fedha, vifaa gani, ujuzi wa namna gani, na sheria za nchi zitaniruhusu?
Elimu yangu ni std 7, kiingereza nakijua kwa mbali kidogo, matumizi ya internet ninayo kiasi jee kwa sifa hizi zangu nakidhi vigezo?
Ni hayo tu wakuu, mujaliwe kila lenye heri.