Ni utaratibu gani au mila ipi ya kitanzania inayozika watu usiku? Kwanini tuzike usiku?

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Awamu ya tano inadai ni ya watu wacha mungu na waadilifu kweli kweli na wanasema msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

Opposite yake itakuwa msema uwongo ni mpenzi wa shetani.

Wanashinda kila ijumaa na jumapili na makamera wakijionyesha kuwa ni watu wa mungu ila hatujui kwa mungu yupi.

Ila matendo yao hayafanani na watu wa mungu labda kama kuna mungu wanayemwabudu sio huyu wanaotuonyesha na makamera.

Ni utaratibu upi unaofanya serikali ya awamu ya tano kuzika usiku wa manane ambao hujulikana kilingana na imani ndio muda wa wachawi kufanya mambo yao na vikao vyao.

Je ni mila ipi? Dini ipi? Au imani ipi inayofuatwa au utaratibu na sheria gani inafuatwa kwa raia wa tanzania kuzikwa nyakati za usiku na sio wakati wa mchana?
 
Wanaogopa mikusanyiko ya watu eti usiku watu wamelala
 
Awamu ya tano inadai ni ya watu wacha mungu na waadilifu kweli kweli na wanasema msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

Opposite yake itakuwa msema uwongo ni mpenzi wa shetani.

Wanashinda kila ijumaa na jumapili na makamera wakijionyesha kuwa ni watu wa mungu ila hatujui kwa mungu yupi.

Ila matendo yao hayafanani na watu wa mungu labda kama kuna mungu wanayemwabudu sio huyu wanaotuonyesha na makamera.

Ni utaratibu upi unaofanya serikali ya awamu ya tano kuzika usiku wa manane ambao hujulikana kilingana na imani ndio muda wa wachawi kufanya mambo yao na vikao vyao.

Je ni mila ipi? Dini ipi? Au imani ipi inayofuatwa au utaratibu na sheria gani inafuatwa kwa raia wa tanzania kuzikwa nyakati za usiku na sio wakati wa mchana?
Pale mwananyamala niliwahi kuwashuhudia Waislamu wakifanya mazishi usiku ila sikujua sababu!
 
Mchana kazi , usiku ndio tunazika
Awamu ya tano inadai ni ya watu wacha mungu na waadilifu kweli kweli na wanasema msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

Opposite yake itakuwa msema uwongo ni mpenzi wa shetani.

Wanashinda kila ijumaa na jumapili na makamera wakijionyesha kuwa ni watu wa mungu ila hatujui kwa mungu yupi.

Ila matendo yao hayafanani na watu wa mungu labda kama kuna mungu wanayemwabudu sio huyu wanaotuonyesha na makamera.

Ni utaratibu upi unaofanya serikali ya awamu ya tano kuzika usiku wa manane ambao hujulikana kilingana na imani ndio muda wa wachawi kufanya mambo yao na vikao vyao.

Je ni mila ipi? Dini ipi? Au imani ipi inayofuatwa au utaratibu na sheria gani inafuatwa kwa raia wa tanzania kuzikwa nyakati za usiku na sio wakati wa mchana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Awamu ya tano inadai ni ya watu wacha mungu na waadilifu kweli kweli na wanasema msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

Opposite yake itakuwa msema uwongo ni mpenzi wa shetani.

Wanashinda kila ijumaa na jumapili na makamera wakijionyesha kuwa ni watu wa mungu ila hatujui kwa mungu yupi.

Ila matendo yao hayafanani na watu wa mungu labda kama kuna mungu wanayemwabudu sio huyu wanaotuonyesha na makamera.

Ni utaratibu upi unaofanya serikali ya awamu ya tano kuzika usiku wa manane ambao hujulikana kilingana na imani ndio muda wa wachawi kufanya mambo yao na vikao vyao.

Je ni mila ipi? Dini ipi? Au imani ipi inayofuatwa au utaratibu na sheria gani inafuatwa kwa raia wa tanzania kuzikwa nyakati za usiku na sio wakati wa mchana?
Mkuu, ikiwa katika mikesha ya mbio za mwenge mambo mengi ya giza yalifanyika, na pia katika mbio hizo na mikesha yake waasisi wake walitanguliza mambo ya kishirikina. Basi ni lazima tutambue ya kuwa kusitishwa kwake kutaleta "perfect substitute" ya masharti ya kukimbizwa kwake na mikesha yake.

Nahisi wametafuta njia mbadala ya kutokuwepo kwa mwenge, ili mwanga mbadala wa kishirikina kupitia kafara za kishetani uzidi kuangaza nje ya mipaka ya nchi, na vilevile kuzidi kupumbaza wananchi walio wengi na hata kuweka giza ndani ya akili zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom