Ni ushauri gani mzuri wa kumpatia kijana anaetamani kuoa

Ni ushauri gani mzuri wa kumpatia kijana anaetamani kuoa

Everybody's has his own story, Ndoa ni taasisi ngumu sana ni rahisi kuongoza nchi kuliko taasisi ya ndoa ila Mwisho wa Siku wote tunaishi duniani kwa Mara ya Kwanza Hamna Mwenye Experience kwahio usisikilize sana Maneno ya Watu Kwenye Kufanya Maamuzi.
 
Ni jambo jema ila azingatie haya natatu manne
1: Mwanamke mzinzi hasamehewi katu katu
2: Mwanamke wenye dharau hasamewi hata kwa bahati mbaya.
3; Mwanamke mwenye kiburi anaekukoromea hakufai.
4:.....................................................................................................................................

Mwanamke msamehe kwa haya anaweza kujirekebisha
1 kapika vibaya
2 mchafu
3 Kazidisha chumvi
4 ..........................................................

USIKUBARI USHAURI KWA YEYOTE YULE 1-4 YA HAPO MWANZO.
 
Ni jambo jema ila azingatie haya natatu manne
1: Mwanamke mzinzi hasamehewi katu katu
2: Mwanamke wenye dharau hasamewi hata kwa bahati mbaya.
3; Mwanamke mwenye kiburi anaekukoromea hakufai.
4:.....................................................................................................................................

Mwanamke msamehe kwa haya anaweza kujirekebisha
1 kapika vibaya
2 mchafu
3 Kazidisha chumvi
4 ..........................................................

USIKUBARI USHAURI KWA YEYOTE YULE 1-4 YA HAPO MWANZO.
kuna kanali wa jwtz kajinyonga juz kat kutokana na hayo hapo mwanzo, nilisikitika sana kwan jamaa alifiwa na wazaz wake akiwa mdogo sana, kasomeshwa na wajomba kwa shida shida sana, mwishowe akakutana na kinyongeo.

maisha haya.
 
Kila binadamu anamapungufu yake hivyo usitegemee kukutana na asiye na kasoro. Ukisema unamuacha huyu kwa mapungufu haya basi hata utakae kutana nae pia atakua na mapungufu yake yasifanane na ya yule wa mwanzo pengine.

Pia kila binadamu ndio anaishi kwa mara ya kwanza hapa duniani hivyo katika mahusiona naye ndio anajifunza, hakufanyia rehearsals maisha ya ndoa hapo kabla.

Kwahiyo tafuta mtu unaona mapungufu yake unaweza kuishi nayo, unayamudu kimwili kisaikolojia nk...

Kuvumiliana kwa mapungufu mliyonayo na kujifunza Kutokana makosa.
 
Back
Top Bottom