ivi kwa yaliyotokea IRAQ,AFGHANISTAN,SYRIA NA LIBYA kwa taifa la marekani kuuwa maelfu ya watu nakinachoendelea GAZA kwa ISRAEL kuua maelfu ya watu, watoto wafanyakazi wa Umoja wa Kimataifa na Madaktari halafu dunia ipo kimya mpaka south afrika ikaja fungua kesi.lakini URUSI ilipovamia UKRAINE tulisikia kelele namakemeo yakila aina kutoka Magharibi.
Je, Mahakama zakimataifa yaani ICC nimpango maalum kwaajili yanchi furani? Na je kwa kukosa usawa huu inamaana nafaida kuwepo kwake
Je, Mahakama zakimataifa yaani ICC nimpango maalum kwaajili yanchi furani? Na je kwa kukosa usawa huu inamaana nafaida kuwepo kwake