Ni Ujinga sana Kufa kisa Mange Kimambi

Ni Ujinga sana Kufa kisa Mange Kimambi

Nodus

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2011
Posts
350
Reaction score
938
Toka enzi na enzi, Great people waliongoza majeshi na Majenerali walikuwa bega kwa bega, tayari kutoa maisha yao kwa ajili ya majenerali wao. Wakina Napoleon, Alexander the Great, Khalid bin Walid etc.

Leo hii wewe mtoto wa 2000 unaenda kufa kisa Mange na Maria wamekupump, huoni hata aibu? Wakati wanakutia risasi kesho kiongozi wako yupo kifuani kwa mumewe huku anachat na kisimu chake.

Yani akili huna ila hata kuona huoni?

Toka lini maandamano ya kujazana barabarani bila plan yalimng’oa hata Mwenyekiti wa kitongoji?

Kinachotafutwa kesho ni maiti ziongozeke ili waseme serikali inazidi kuua raia ili madonor wao wapate leverage ta kunegotiate na serikali.

Hata hayo mavita ya Urusi na Ukraine, baada ya mamia ya maelfu kufa baadae watakaa kwenye meza na kuyamaliza yaishe, wakati huo wewe upo matopeni.

Jisikie aibu kufa kwa ajili ya mainfluencer…
 
Toka enzi na enzi, Great people waliongoza majeshi na Majenerali walikuwa bega kwa bega, tayari kutoa maisha yao kwa ajili ya majenerali wao. Wakina Napoleon, Alexander the Great, Khalid bin Walid etc.

Leo hii wewe mtoto wa 2000 unaenda kufa kisa Mange na Maria wamekupump, huoni hata aibu? Wakati wanakutia risasi kesho kiongozi wako yupo kifuani kwa mumewe huku anachat na kisimu chake.

Yani akili huna ila hata kuona huoni?

Toka lini maandamano ya kujazana barabarani bila plan yalimng’oa hata Mwenyekiti wa kitongoji?

Kinachotafutwa kesho ni maiti ziongozeke ili waseme serikali inazidi kuua raia ili madonor wao wapate leverage ta kunegotiate na serikali.

Hata hayo mavita ya Urusi na Ukraine, baada ya mamia ya maelfu kufa baadae watakaa kwenye meza na kuyamaliza yaishe, wakati huo wewe upo matopeni.

Jisikie aibu kufa kwa ajili ya mainfluencer…
Nawaza tu. Mange hayupo watu wakiandamana itakuwaje?

Kama ambavyo chadema haikuwepo watu wakakiwasha.
 
Toka enzi na enzi, Great people waliongoza majeshi na Majenerali walikuwa bega kwa bega, tayari kutoa maisha yao kwa ajili ya majenerali wao. Wakina Napoleon, Alexander the Great, Khalid bin Walid etc.

Leo hii wewe mtoto wa 2000 unaenda kufa kisa Mange na Maria wamekupump, huoni hata aibu? Wakati wanakutia risasi kesho kiongozi wako yupo kifuani kwa mumewe huku anachat na kisimu chake.

Yani akili huna ila hata kuona huoni?

Toka lini maandamano ya kujazana barabarani bila plan yalimng’oa hata Mwenyekiti wa kitongoji?

Kinachotafutwa kesho ni maiti ziongozeke ili waseme serikali inazidi kuua raia ili madonor wao wapate leverage ta kunegotiate na serikali.

Hata hayo mavita ya Urusi na Ukraine, baada ya mamia ya maelfu kufa baadae watakaa kwenye meza na kuyamaliza yaishe, wakati huo wewe upo matopeni.

Jisikie aibu kufa kwa ajili ya mainfluencer…
Hata wasipoandamana watakufa kwa kutekwa, bora ufe kwa risasi, kuliko ufirwe kisha ndio uuwawe. Au nyie nani kawaagiza mteke watu, au mna Mange na Maria wenu wamewaagiza?
 
Nawaza tu. Mange hayupo watu wakiandamana itakuwaje?

Kama ambavyo chadema haikuwepo watu wakakiwasha.
Hii movement haina direction wala specific agenda. Huyu anasema ya amani, huyu anakiwasha. Kiufupi kinachotafutwa ni maafa kwa ajili ya kufanyia mtaji
 
Ugali Ulivyokua Mtamu hivi eti kesho jitu linaenda kumwagwa utumbo kwenye Rami?😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
IMG_0067.jpeg
IMG_0612.jpeg
 
Toka enzi na enzi, Great people waliongoza majeshi na Majenerali walikuwa bega kwa bega, tayari kutoa maisha yao kwa ajili ya majenerali wao. Wakina Napoleon, Alexander the Great, Khalid bin Walid etc.

Leo hii wewe mtoto wa 2000 unaenda kufa kisa Mange na Maria wamekupump, huoni hata aibu? Wakati wanakutia risasi kesho kiongozi wako yupo kifuani kwa mumewe huku anachat na kisimu chake.

Yani akili huna ila hata kuona huoni?

Toka lini maandamano ya kujazana barabarani bila plan yalimng’oa hata Mwenyekiti wa kitongoji?

Kinachotafutwa kesho ni maiti ziongozeke ili waseme serikali inazidi kuua raia ili madonor wao wapate leverage ta kunegotiate na serikali.

Hata hayo mavita ya Urusi na Ukraine, baada ya mamia ya maelfu kufa baadae watakaa kwenye meza na kuyamaliza yaishe, wakati huo wewe upo matopeni.

Jisikie aibu kufa kwa ajili ya mainfluencer…
ID yako ina akili kuliko mwenye ID
 
Toka enzi na enzi, Great people waliongoza majeshi na Majenerali walikuwa bega kwa bega, tayari kutoa maisha yao kwa ajili ya majenerali wao. Wakina Napoleon, Alexander the Great, Khalid bin Walid etc.

Leo hii wewe mtoto wa 2000 unaenda kufa kisa Mange na Maria wamekupump, huoni hata aibu? Wakati wanakutia risasi kesho kiongozi wako yupo kifuani kwa mumewe huku anachat na kisimu chake.

Yani akili huna ila hata kuona huoni?

Toka lini maandamano ya kujazana barabarani bila plan yalimng’oa hata Mwenyekiti wa kitongoji?

Kinachotafutwa kesho ni maiti ziongozeke ili waseme serikali inazidi kuua raia ili madonor wao wapate leverage ta kunegotiate na serikali.

Hata hayo mavita ya Urusi na Ukraine, baada ya mamia ya maelfu kufa baadae watakaa kwenye meza na kuyamaliza yaishe, wakati huo wewe upo matopeni.

Jisikie aibu kufa kwa ajili ya mainfluencer…
Sijasoma kinyesi chako chote ulichorundika hapa lakini labda tu nikuulize yafuatayo ..

Katiba mpya inamhusu mange ?
Tume huru ya uchaguzi inamhusu mange?
Kupinga ufisadi kunamhusu mange?
Kupinga UTEKAJI kunamhusu mange?
Kudai waliotekwa waachiwe huru kunamhusu mange?
 
Hata wasipoandamana watakufa kwa kutekwa, bora ufe kwa risasi, kuliko ufirwe kisha ndio uuwawe. Au nyie nani kawaagiza mteke watu, au mna Mange na Maria wenu wamewaagiza?
Tanzania ina watu Milioni 65, ukiambiwa utoe list ya watu unaodai wametekwa hata 100 hutaji.

Umepumbazwa na wanasiasa kuamplify tatizo ambalo huwezi kulielezea wala kuthibitisha.

Hiyo ndo maana ya propaganda.

Propaganda haimaanishi jambo fulani ni la uongo, ila linachukuliwa tatizo dogo au lililojificha linafanywa kuwa ndio main topic ili kufikia malengo kupitia migongo ya wengine
 
Hii movement haina direction wala specific agenda. Huyu anasema ya amani, huyu anakiwasha. Kiufupi kinachotafutwa ni maafa kwa ajili ya kufanyia mtaji
Tunawapa mtaji nyie, maana mlikuwa mnaua taratibu kwa kuteka, sasa tunakuja kwa wingi ili mtuue vizuri. Tunajua kuua ndio tambiko lenu ili muendelee kukaa madarakani, hivyo kadiri mtakavyoua ndio mtakavyokaa madarakani.
 
Tanzania ina watu Milioni 65, ukiambiwa utoe list ya watu unaodai wametekwa hata 100 hutaji.

Umepumbazwa na wanasiasa kuamplify tatizo ambalo huwezi kulielezea wala kuthibitisha.

Hiyo ndo maana ya propaganda.

Propaganda haimaanishi jambo fulani ni la uongo, ila linachukuliwa tatizo dogo au lililojificha linafanywa kuwa ndio main topic ili kufikia malengo kupitia migongo ya wengine
Kifo hata cha mtu mmoja ni tatizo kubwa, ww hadi ufikie mia ndio unaona ni tatizo kubwa? Sasa kesho tunatoka ili mtuue vizuri. Kisha watakaobaki watamlaumu huyo Mange. Ila msiombe siku tukakamata silaha, mtabidili narative.
 
Kwani nini kuwe na maafa kwa watu wasio na uelekeo.?
Herd Mentality

Binadamu wakiwa kwenye kundi mtu mmoja akifanya tukio wengine wote wanaweza kumfuata.

Ukiona watu wanakimbia utakimbia, ukiona wabachoma moto utaenda. Mwishowe wote mnakuwa wahalifu
 
Toka enzi na enzi, Great people waliongoza majeshi na Majenerali walikuwa bega kwa bega, tayari kutoa maisha yao kwa ajili ya majenerali wao. Wakina Napoleon, Alexander the Great, Khalid bin Walid etc.

Leo hii wewe mtoto wa 2000 unaenda kufa kisa Mange na Maria wamekupump, huoni hata aibu? Wakati wanakutia risasi kesho kiongozi wako yupo kifuani kwa mumewe huku anachat na kisimu chake.

Yani akili huna ila hata kuona huoni?

Toka lini maandamano ya kujazana barabarani bila plan yalimng’oa hata Mwenyekiti wa kitongoji?

Kinachotafutwa kesho ni maiti ziongozeke ili waseme serikali inazidi kuua raia ili madonor wao wapate leverage ta kunegotiate na serikali.

Hata hayo mavita ya Urusi na Ukraine, baada ya mamia ya maelfu kufa baadae watakaa kwenye meza na kuyamaliza yaishe, wakati huo wewe upo matopeni.

Jisikie aibu kufa kwa ajili ya mainfluencer…
Nyie ndio mnakufaga ndani

‎Wanachofeli Gen Z.

‎1.Kupata silaha za moto hapa mtakuwa mmemaliza mzizi wa fitina na hili litakokea kama kutakuwa na mgawanyiko jeshini na WA kina tesha watokee wagawie wananchi silaha.

‎2.choma majengo yote ya wizara,hifadhi,migodi,Kambi za jeshi,CCP,bandari,Ikulu zote,vituo vikuu vya Kila mkoa.kimara pale choma mitambo yote ya Tanesco choma mawasiliano Treni ya umeme piga kiberiti ,
‎Ma generator ya bwawa la Nyerere piga kiberiti ,

‎3.mimi nikishapata AK 47,72au 102 na SMG namalisha ishu zote
 
We kumar, sisi hatumpiganii mange, sisi tunalipigania taifa letu, mnaiba mali za taifa, mnajifaidisha.. huyo mange yuko zake marekani ya huku wala hayamgusi.
Huyo mange alishapiga sana kelel mtandaoni watu wakawa wanamuona chizi
Why now, watanzania wamechoka, wameamka, wameelimika.. zama hizi sio zile za 50 kweusi, nyerere anatizama tv ikula anaamka anawatangazia.

Nchi ina gesi, bandari, madini usiseme lakini tupo tupo tu, chora graph ya maliasili zetu vs maendeleo ama uchumi wetu, utaona zhing zhong..
Vipi muda wa uhuru vs maendeleo?

TUMECHOKA, makumar nyinyi
 
Kama hujui watanganyika wanataka nini, kaa kimya. Waliokufa hawajamfia mange. Wamekufa kwa heshima kwa ukombozi wa taifa na vizazi vijavyo. Huoni jinsi katiba mbovu imemfanya raia wa nchi jirani kuwabananga na kuwabagaza watanganyika?. wakati watanganyika hawawezi kuupata hata usheha hapa nchi ya zanzibar.
 
Toka enzi na enzi, Great people waliongoza majeshi na Majenerali walikuwa bega kwa bega, tayari kutoa maisha yao kwa ajili ya majenerali wao. Wakina Napoleon, Alexander the Great, Khalid bin Walid etc.

Leo hii wewe mtoto wa 2000 unaenda kufa kisa Mange na Maria wamekupump, huoni hata aibu? Wakati wanakutia risasi kesho kiongozi wako yupo kifuani kwa mumewe huku anachat na kisimu chake.

Yani akili huna ila hata kuona huoni?

Toka lini maandamano ya kujazana barabarani bila plan yalimng’oa hata Mwenyekiti wa kitongoji?

Kinachotafutwa kesho ni maiti ziongozeke ili waseme serikali inazidi kuua raia ili madonor wao wapate leverage ta kunegotiate na serikali.

Hata hayo mavita ya Urusi na Ukraine, baada ya mamia ya maelfu kufa baadae watakaa kwenye meza na kuyamaliza yaishe, wakati huo wewe upo matopeni.

Jisikie aibu kufa kwa ajili ya mainfluencer…
Kwani mange ndiye alikuwa akiteka mchana kweupe na kuua? Msihamishe magoli chanzo cha tatizo ni serikali yenyewe na ndiyo imechochea chuki kubwa dhidi yake na wananchi wala msitafute wakuwasingizia halafu serikali ikajifanya haijui
 
Back
Top Bottom