Ni ujinga kupoteza muda mtandaoni kuzungumzia MCC!!

Gangongine

JF-Expert Member
Dec 31, 2015
3,854
1,776
Ni aibu kwa wanaojiita Wapinzani kushinda mtandaoni kuilaumu Serikali kwa kunyimwa Misaada. Badala ya kutoa mawazo mbadala ya Nchi kujitegemea mnaonesha upeo finyu wa kufikiri kwa kuendelea kuamini kuwa Tanzania itaendelea kwa Misaada.. Kama maandamano yameisha chapeni kazi hata kulima nyanya!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom