Ni ujinga kudhani kesi ya Mbowe ni ya kipekee hivyo Jaji anayeisikiliza hapaswi kupewa majukumu mengine hadi kesi iishe

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,961
141,957
Kesi ya mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe ni ya kawaida tu kama zilivyo kesi nyingine na yeye siyo kiongozi wa kwanza wa upinzani kukumbwa na kesi.

Wapo akina Mtikila na yule aliyesigina katiba pale jangwani na wengine wengi tu waliowahi kushtakiwa na Jamhuri na mahakama ikawatendea haki.

Uteuzi wa Jaji Kiongizi Mustapha Siyani ni wa kawaida kabisa na ni vema tukamwacha atimize majukumu yake mapya huku akikamilisha kusikiliza kesi hiyo ya ugaidi ambayo mwelekeo wake umeshaonekana baada ya ushahidi wa lile shauri dogo katika kesi ya msingi.

Ni vema Chadema mkapunguza ulalamishi maana hata mkipewa Biswalo awasikilize bado mtalia lia tu.

Nawatakia Sabato yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
 
Ni ujinga zaidi kudhani kesi ya kutengeneza kama ya Mbowe, iliyojaa siasa, jaji hawezi kubadilishwa kwa sababu yoyote ili aje mwingine aendelee kuyalinda maslahi ya CCM.

😂😂😂😂
 
Kesi ya mbowe, huwezi kulinganiaha na ya wajomba zako uko kolomije,

Mbowe ni Taasisi siyo kama unavyo fikiri then anglia na nature ya kesho anayo shutumia kwalo, hii kesi ina -intention kubwa sana kimataifa hata ndani ya nchi kulingana influence ya chama na mwenyikiti wake
Kwa nini usishughulikie kwanza uandishi wako wa Kiswahili na Kiingereza kabla ya kujaribu kujibu hoja za watoa Mada!!!
Ni ushauri tu lakini, Una uhuru wa kuufanyia kazi Au kuuacha
 
Kesi ya mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe ni ya kawaida tu kama zilivyo kesi nyingine na yeye siyo kiongozi wa kwanza wa upinzani kukumbwa na kesi.

Wapo akina Mtikila na yule aliyesigina katiba pale jangwani na wengine wengi tu waliowahi kushtakiwa na Jamhuri na mahakama ikawatendea haki.

Uteuzi wa Jaji Kiongizi Mustapha Siyani ni wa kawaida kabisa na ni vema tukamwacha atimize majukumu yake mapya huku akikamilisha kusikiliza kesi hiyo ya ugaidi ambayo mwelekeo wake umeshaonekana baada ya ushahidi wa lile shauri dogo katika kesi ya msingi.

Ni vema Chadema mkapunguza ulalamishi maana hata mkipewa Biswalo awasikilize bado mtalia lia tu.

Nawatakia Sabato yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Kuwachezea watu nao si akili ya kujivunia. Kesi ya kutengenezwa ili mtu apotezewe muda na muelekeo si ujanja ni ujinga zaidi . Jaji hata akibadilishwa kesi ipo na kesi ni maandishi na ushahidi siyo jaji. Mahakama ipo atakuepo mwingine na shauri litaendelea
 
Kesi ya mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe ni ya kawaida tu kama zilivyo kesi nyingine na yeye siyo kiongozi wa kwanza wa upinzani kukumbwa na kesi.

Wapo akina Mtikila na yule aliyesigina katiba pale jangwani na wengine wengi tu waliowahi kushtakiwa na Jamhuri na mahakama ikawatendea haki.

Uteuzi wa Jaji Kiongizi Mustapha Siyani ni wa kawaida kabisa na ni vema tukamwacha atimize majukumu yake mapya huku akikamilisha kusikiliza kesi hiyo ya ugaidi ambayo mwelekeo wake umeshaonekana baada ya ushahidi wa lile shauri dogo katika kesi ya msingi.

Ni vema Chadema mkapunguza ulalamishi maana hata mkipewa Biswalo awasikilize bado mtalia lia tu.

Nawatakia Sabato yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Ujinga zaidi ni kudhani kesi hiyo haina upekee wakati rais ameshaitangazia dunia kupiti BBC kuwa Mbowe ni gaidi na amekamatwa na kushitakiwa kwa kufanya matendo ya Kigaidi, IGP Sirro naye ameshatangaza kuwa ni gaidi na amekamatwa kwa kufanya matendo ya kigaidi.

Mwigulu kasema Ugaidi haujaingia nchini, Mama Anne Makinda yeye akasema atakua mtu wa mwisho kuamini kwamba Mbowe ni gaidi.

Mwisho, ujinga mwingine ni kudhani kwamba kesi hii haina upekee wakati Jaji wa kwanza aliyekua anaiendesha kesi hii alionekana kupania kuivuruga kimkakati na mara baads ya kulalamikiwa na kujitoa mwenendo wa kesi ulubadilika kabisa baada ya Jaji mpya ku balance mwenendo mzima na kutoa haki sawa kwa pande zote na hatimaye on the process ikaanza kuonekana akina Kingai na Polisi ndiyo Magaidi waliotengeneza ugaidi ule na kuwa frame akina Mbowe na wale Makomandoo
 
Kesi ya Mbowe ni ya kipekee sana,ndio maana unaona mataifa yanatuma wawakilishi kufuatilia mwenendo Wa kesi!Usitake kulinganisha kesi ya Mbowe na ya wakwe zako!

Mama Samia hajatumia busara,kajiweka pagumu mwenyewe iwapo kesi hii itaamuliwa tofauti na matarajio ya UMMA!
 
Kesi ya mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe ni ya kawaida tu kama zilivyo kesi nyingine na yeye siyo kiongozi wa kwanza wa upinzani kukumbwa na kesi.

Wapo akina Mtikila na yule aliyesigina katiba pale jangwani na wengine wengi tu waliowahi kushtakiwa na Jamhuri na mahakama ikawatendea haki.

Uteuzi wa Jaji Kiongizi Mustapha Siyani ni wa kawaida kabisa na ni vema tukamwacha atimize majukumu yake mapya huku akikamilisha kusikiliza kesi hiyo ya ugaidi ambayo mwelekeo wake umeshaonekana baada ya ushahidi wa lile shauri dogo katika kesi ya msingi.

Ni vema Chadema mkapunguza ulalamishi maana hata mkipewa Biswalo awasikilize bado mtalia lia tu.

Nawatakia Sabato yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Hivi bwashee,
Je! Katika siku za maisha yako yote umewahi kuziona kesi ngapi za ugaidi hapa Tanzania?
Je! Na katika kesi hizo,, ngapi kati yake zimekuwa zikifuatiliwa kwa ukaribu na ofisi za ubalozi kutoka US, EU na Canada?
 
CHADEMA imejaa mediocres wengi sana! Sasa hivi hawana ajenda wala program yoyote ya maana, ni KESI YA MBOWE tu! Wakija kushtuka 2025 hiyo hapo!
 
Wewe uandishi wako umeushughulikia kwanza kabla ya kumkosoa mwenzio?
Kwa nini usishughulikie kwanza uandishi wako wa Kiswahili na Kiingereza kabla ya kujaribu kujibu hoja za watoa Mada!!!
Ni ushauri tu lakini, Una uhuru wa kuufanyia kazi Au kuuacha
 
Kesi ya mbowe, huwezi kuilinganisha na ya wajomba zako uko kolomije,

Mbowe ni kiongozi wa Taasisi kubwa na siyo kama unavyo fikiria
then angalia na nature ya kesi anayo shutumia kwalo, hii kesi ina upana wake kwenye jumuiya ya kimataifa, na ndani ya nchi kulingana influence ya chama
Kumbe bwashee ni mkolomije 🤣🤣🤣🤣
 
Kesi ya mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe ni ya kawaida tu kama zilivyo kesi nyingine na yeye siyo kiongozi wa kwanza wa upinzani kukumbwa na kesi.

Wapo akina Mtikila na yule aliyesigina katiba pale jangwani na wengine wengi tu waliowahi kushtakiwa na Jamhuri na mahakama ikawatendea haki.

Uteuzi wa Jaji Kiongizi Mustapha Siyani ni wa kawaida kabisa na ni vema tukamwacha atimize majukumu yake mapya huku akikamilisha kusikiliza kesi hiyo ya ugaidi ambayo mwelekeo wake umeshaonekana baada ya ushahidi wa lile shauri dogo katika kesi ya msingi.

Ni vema Chadema mkapunguza ulalamishi maana hata mkipewa Biswalo awasikilize bado mtalia lia tu.

Nawatakia Sabato yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Unasema ni Ujinga kuipa umuhimu kesi ya Mh.Mbowe halafu wew mwenyewe umeipa umuhimu huo kwa kuiandika hapa kesi hiyo hiyo Kibwetele wew.
Ndio maana kada mwenzenu Dr. Didas Masaburi alisema Kuna Wana CCM wenzake kama wew wanafikiri kwa kutumia Makalio.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom