Tee Bag
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 7,220
- 5,626
akaribie, ayasikie na ayaone mwenyewe
aaaah.....eeeh, ni kiu tu mpenzi, hebu kwanza nisaidie maji ya barid kiasi!
Nisamehe bebi wangu, huyo nilikutana naye hapo nje tu nilikuwa namwelekeza njia!Maji sikupi mpk nijue sera mfahamiano wenu
umekaguliwa ...
Ukitaka kuwika wika tu lakini si kwa makelele na mbwembwe za huko utokako! Pia jukwaa hili ni la watanzaniaHabarini za usiku huu wana MMU! Sina mengi saana ila tu ni ujio tu wangu humu ndani, maana jogoo la shamba haliwiki mjini, xo nkishazoea ntawika, usiku mwema wapendwa.
Nimemkagua yuko swafii kote kote
We.....!Mi ni intermediet CYBERTEQ
Nothing. tell meeeeeeee.Kulikoni teeee......na?
kumbe bado upo nilijua umerudi utokapoKulikoni teeee......na?