Nazjaz JF-Expert Member Jan 20, 2011 7,684 8,832 Oct 11, 2012 #2 ya ukweli hiyo, kuna siku nasikia alipiga risasi juu akiwa maeneo ya studio
HIMARS JF-Expert Member Jan 23, 2012 69,344 94,505 Oct 11, 2012 #3 Uhuni tu kwanza alitakiwa akamatwe ameitoa wapi Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Nazjaz JF-Expert Member Jan 20, 2011 7,684 8,832 Oct 11, 2012 #4 nchi hii polisi wanawaogopa na kuwatetemekea wasanii, na kuwanyanyasa wapinzani. Vipi hiyo bunduki isiyo na kibali angekamatwa nayo TUNDU LISU?
nchi hii polisi wanawaogopa na kuwatetemekea wasanii, na kuwanyanyasa wapinzani. Vipi hiyo bunduki isiyo na kibali angekamatwa nayo TUNDU LISU?
awp JF-Expert Member Jun 6, 2012 1,711 599 Oct 11, 2012 #5 picha ipo wapi weka link bathi buji <!-- google_ad_section_end -->
kamtu33 JF-Expert Member Mar 15, 2012 999 405 Oct 11, 2012 #6 Kwa sisi tunaotumia simu picha hatuoni.