sasa unataja taja nini nchi za watu ambazo watu wanaopotezwa kimya kimya kwa hila, hata mkosoaji awe mahali gani duniani lazima afuatwe na kupotezwa 🐒Mna shida gani na Rwanda..walimopitia km nchi wewe ungeweza kufika walipo sasa? Acheni chuki na wivu wa kijinga, mtu anayetambua vile alivyotujalia Mwenyezi Mungu ukilinganisha na Rwanda hana muda wa kusema sema kuhusu Rwanda..hivi wao ndio sababu ya Tanzanua kutoendelea na kutumia rasilimali zilizopo vizuri?
Hapa watu hawapotezwi? linaongelewa jambo la tabia kusifia sifia wewe unaleta chuki kwa mambo ambayo hata hapa yapo, nchi kama Rwanda kwa historia yao na hapo walipofikia kuna ya kujifunza..seriousness and respecting each other, siyo mizaha, unafiki na kudharauriana kunakofanyika hapa.sasa unataja taja nini nchi za watu ambazo watu wanaopotezwa kimya kimya kwa hila, hata mkosoaji awe mahali gani duniani lazima afuatwe na kupotezwa 🐒
we kainchi kenyewe sawa na mkoa wa mwanza tu unakuja hapa kifua mbele ati sijui ngweeengweengwee nini 🐒
useless with no details comparison informations 🐒
Dah!Huwezi kuta hata waziri wa Fedha wa Rwanda anapost picha ya Kagame akimsifia sifia usidhani hakuna kitu wanafanya, wanafanya mengi ila huwezi kuta waziri wa Fedha wa Rwanda anafanya huo Ujinga.Burundu the same, Uganda the same.
Kenya ndio kabisa Waziri wa fedha hawezi na haitakaa itokee kufanya uchawa wa kuabudu Ruto.
Sasa njoo Tanzania Facebook profile ya waziri wa fedha imejaaa picha za Raisi Samia yaani haipiti wiki hajasifia. Hizi ni dalili za udhaifu na njia pekee ni kwa waziri kuabudu na kulamba miguu.
Nina uhakika tungekuwa na Waziri wa Fedha kama Kimei asingefanya huo ujinga.
Hata mpango alikuwa hafanyia huo ujinga wa dailt kusifia.
Mwiguru nimweupe sana kichwani, na njia pekee ya yeye kuendelee kuwepo offisini na kupiga pesa ni yeye kusifia na kuabudu
View attachment 2963678
Pia soma: Mwigulu: Licha ya Rais Samia kupokea nchi kwenye hali ngumu, ameweza kumwaga pesa nyingi kwenye miradi kushinda Awamu yoyote wa kabla yake
sasa kwa mihemko utafika wap, si urilax ueleze mambo taratibu kinagaubaga 🐒Hapa watu hawapotezwi? linaongelewa jambo la tabia kusifia sifia wewe unaleta chuki kwa mambo amabyo hata hapa yapo, nchi kama Rwanda kwa historia yao na hapo walipofikia yapo ya kujifunza..seriousness and respecting each other, siyo mizaha na unafiki uliopo hapa.
Details gani unazo mpumbavu wewe..sababu ya failures zako unajenga chuki na wivu, kama unachokozwa deal nao kimya kimya, tunataka kuona vitendo siyo kushout upumbavu hapa!
ANAKULA KWA UREFU WA KAMAHuwezi kuta hata waziri wa Fedha wa Rwanda anapost picha ya Kagame akimsifia sifia usidhani hakuna kitu wanafanya, wanafanya mengi ila huwezi kuta waziri wa Fedha wa Rwanda anafanya huo Ujinga.Burundu the same, Uganda the same.
Kenya ndio kabisa Waziri wa fedha hawezi na haitakaa itokee kufanya uchawa wa kuabudu Ruto.
Sasa njoo Tanzania Facebook profile ya waziri wa fedha imejaaa picha za Raisi Samia yaani haipiti wiki hajasifia. Hizi ni dalili za udhaifu na njia pekee ni kwa waziri kuabudu na kulamba miguu.
Nina uhakika tungekuwa na Waziri wa Fedha kama Kimei asingefanya huo ujinga.
Hata mpango alikuwa hafanyia huo ujinga wa dailt kusifia.
Mwiguru nimweupe sana kichwani, na njia pekee ya yeye kuendelee kuwepo offisini na kupiga pesa ni yeye kusifia na kuabudu
View attachment 2963678
Pia soma: Mwigulu: Licha ya Rais Samia kupokea nchi kwenye hali ngumu, ameweza kumwaga pesa nyingi kwenye miradi kushinda Awamu yoyote wa kabla yake
You have no idea of what you r putting here..but too junior to stage a conversation with me, its not bad when a person decides to remain fool if being foolish does not harm others!sasa kwa mihemko utafika wap, si urilax ueleze mambo taratibu kinagaubaga 🐒
sasa muungwana, TZ kwa Rwanda tutajifunza ni baba wewe 🤣
yaa tuige kupoteza watu kimya kimya mpaka huko waliko duniani? utakumbuka hata kuna moja alipotezwa humu humu nchini. hayo ndio ya kujifunza? 🐒
ningekua mvivu na mwenye wivu, Lazima ningekua na mihemko na ghadhabu kama zako vile. Na hiyo ni dalili za tabia ya mtu mzima ambae bado anaishi kwa wazazi 🐒
Rwanda imefika wapi bana acha upotoshaji eti kuna ya kujifunza.
kwamba kwamba Rwanda kunarespect, right?
wanarespecti nini sasa ? wanamresprct Rais au wanamuogopa, kwamba wanarespect haki, uhuru, usawa, uwazi au wana uchaguzi huru, wa wazi na wa haki tukajifunze 🤣
kwamba Rwanda wako serious 🤣 serious kupotezana, kuiba madini congo au kufadhili m23🐒
useless and none sense 🐒
anyway,You have no idea of what you r putting here..but too junior to stage a conversation with me, its not bad when a person decides to remain fool if being foolish does not harm others!
Kuna tofauti kubwa kati ya kupongeza na kusifu, wa kwetu hapongezwi ila wanamsifu. Mungu huwa hapongezwi ila anapewa sifa. Ukijua maana yake na upumbavu wako umekwisha!Naona kuna haja ya kutafuta maana halisi ya neno chawa na matumizi yake...maana tunapokwendea huko tutashindwa hata kupongezana
Yaani waziri wa fedha anakuwa chawa du!Huwezi kuta hata waziri wa Fedha wa Rwanda anapost picha ya Kagame akimsifia sifia usidhani hakuna kitu wanafanya, wanafanya mengi ila huwezi kuta waziri wa Fedha wa Rwanda anafanya huo Ujinga.Burundu the same, Uganda the same.
Kenya ndio kabisa Waziri wa fedha hawezi na haitakaa itokee kufanya uchawa wa kuabudu Ruto.
Sasa njoo Tanzania Facebook profile ya waziri wa fedha imejaaa picha za Raisi Samia yaani haipiti wiki hajasifia. Hizi ni dalili za udhaifu na njia pekee ni kwa waziri kuabudu na kulamba miguu.
Nina uhakika tungekuwa na Waziri wa Fedha kama Kimei asingefanya huo ujinga.
Hata mpango alikuwa hafanyia huo ujinga wa dailt kusifia.
Mwiguru nimweupe sana kichwani, na njia pekee ya yeye kuendelee kuwepo offisini na kupiga pesa ni yeye kusifia na kuabudu
View attachment 2963678
Pia soma: Mwigulu: Licha ya Rais Samia kupokea nchi kwenye hali ngumu, ameweza kumwaga pesa nyingi kwenye miradi kushinda Awamu yoyote wa kabla yake
Bora angekuwa KimeiHuyu sio waziri wa fedha bali ni waziri wa kusaini mkataba ya mikopo!
Ni vyema Mama akamtafuta mtu makini na mbobevu wa kweli awe waziri wa fedha,
Sahihi kabisaWatu wengi wenye uwezo na wanaofanya uovu kupitia nafasi zao hujitahidi kumpofusha mkubwa wake wa kazi kwa rushwa ya sifa. Na boss usipokuwa mwerevu unapofuka hasa. Na ukishapofuka, unakuwa umempa uhuru wa kufanya lolote analotaka.
Wewe mke wa mwigulu naona unaumia Sana mmeo akisemwa humuanyway,
relax bana,
mihemko sio deal inakufanya tu upoteze direction, na kupoteza maana ya hoja iliyopo mezani, na zaidi sana inapoteza umuhimu wa majadiliano kwa kubadilishana maoni na mitazamo jua ya mambo mbalimbali, lakini pia kuongeza ufahamu na uelewa jua ya yanatoendelea maeneo mbalimbali duniani
relax and enjoy the day
Kusifiana pia si kitu kibaya ndugu...wivu tu ndo unakusumbuaKuna tofauti kubwa kati ya kupongeza na kusifu, wa kwetu hapongezwi ila wanamsifu. Mungu huwa hapongezwi ila anapewa sifa. Ukijua maana yake na upumbavu wako umekwisha!