NOKIALUMIA
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 396
- 275
Ndugu zangu wanaJF mimi sio mjuzi sana katika nyanja za elimu ila kuna mambo nime yasikia yamekua yakinichnganya saana. maswali makubwa niliyonayo ni pamoja na
1. NACTE kufuta baadhi ya kozi bila kushirikisha wadau mbalimbali na bila wazir mwenye dhamana ni ubabe au ndo utaratibu wa kiutendaji? mfano NACTE mwaka huu imefuta kozi ya ADVANCED DIPLOMA IN CLINICAL MEDICINE (AMO) je wamehusishwa wadau katika kuangalia mbadala au ni mbinu ya kutaka kuiua kozi ya clinical medicine?
2. Wastani wa clinical officer kujiendeleza utapungua kutokana na changamototo za ufaulu ambao nacte wanabdilisha kila siku wanapoamka! kwa mfano miaka ya nyuma clinical officer akiwa na GPA ya 3.0 Na kuendelea alikuwa na uwezo wa kijiendeleza kusoma MD ikumbukwe kuwa mtu mpka kuja kupata GPA ya 3.o Manake amepata UFAULU Wa wastani wa B Kwenye masomo yake yooote ya mtihani wa mwisho. Ila sasa TCU wameongeza wastani wa kwenda MD mpaka 3.5 ikwa na maana kuwa na B+ Kwenye masomo yoote .hii ni ishara ya uonezi ikizingztiz kuwa mtu ashakuwa na exposure kubwa kwenye swala la medicine lakini badae anakosa haki ya kijiendeleza kabisa kibaya hata kama atapata GPA ya tano akienda chuo anaenda kuanza kusoma na mtoto alietoka form six hata kama kafanya kazi miaka kumi .
3. Je, serikali ina mkakati gani kwenye hili . Endapo serikali yetu haitaharibu hali hii ya kuwa na elimu yenye mwisho Tanzania bado itakuwa nyuma katika utoaji wa huduma bora .ukizingatia kila siku technolojia na mambo mengi yanabadilika kila siku baada ya miaka 20 clinical officer atatumia skills za mwaka 2010 (curriculum) kumtibu mgonjwa mwaka 2035 kwa sababu tu amekosa nafasi ya kujiendeleza.
4. Kwa wenye ndugu anaesoma clinical medicine kama yupo mwaka wa kwanza ni bora akamwambia abadilishe kozi mapema iwezekenavyo, kwani kwanza anasoma vitu limited pili ni vigumu kwelikweli sio mzaha ,na atajuta huko mbela atakapo skia kozi hii inafutwa (just prediction) na hatapewa taarifa
5.Nashauri serikali iangilie vitu vifutavyo
A. Ifute kabisa hii kozi ya clinical medicine
B. AU itafute suluhu ya kujiendeleza kwa clinical officer mwenye GPA chini ya 3.5
EITHER imruhuru mwanafunzi arudie mitihani yake ya nta level 6 ili ajaribu tena na tena kupata wastani unao hitajika kama ilivyo level nyingine za sekondari mtua akifeli anarudia,
C. Ifanyie kazi proposal za nyuma za kuanzishwa kwa banchelor of clinical medicine (kama wanavyofanya zambia .. ingi official website ya UNIVERSITY OF ZAMBIA au google baadhi ya university za china ,malawi etc
D. Itamke wazi kuwa clinical officer akitaka kujiendeleza afanye nini. serikali iandae foundation course ili wadogo zetu nao wasome
E. NASHAURI Wafute hii kozi ,ili iwe rahisi wao kuamua mambo yao bila kuadhiri mambo na elimu za watu wengine
1. NACTE kufuta baadhi ya kozi bila kushirikisha wadau mbalimbali na bila wazir mwenye dhamana ni ubabe au ndo utaratibu wa kiutendaji? mfano NACTE mwaka huu imefuta kozi ya ADVANCED DIPLOMA IN CLINICAL MEDICINE (AMO) je wamehusishwa wadau katika kuangalia mbadala au ni mbinu ya kutaka kuiua kozi ya clinical medicine?
2. Wastani wa clinical officer kujiendeleza utapungua kutokana na changamototo za ufaulu ambao nacte wanabdilisha kila siku wanapoamka! kwa mfano miaka ya nyuma clinical officer akiwa na GPA ya 3.0 Na kuendelea alikuwa na uwezo wa kijiendeleza kusoma MD ikumbukwe kuwa mtu mpka kuja kupata GPA ya 3.o Manake amepata UFAULU Wa wastani wa B Kwenye masomo yake yooote ya mtihani wa mwisho. Ila sasa TCU wameongeza wastani wa kwenda MD mpaka 3.5 ikwa na maana kuwa na B+ Kwenye masomo yoote .hii ni ishara ya uonezi ikizingztiz kuwa mtu ashakuwa na exposure kubwa kwenye swala la medicine lakini badae anakosa haki ya kijiendeleza kabisa kibaya hata kama atapata GPA ya tano akienda chuo anaenda kuanza kusoma na mtoto alietoka form six hata kama kafanya kazi miaka kumi .
3. Je, serikali ina mkakati gani kwenye hili . Endapo serikali yetu haitaharibu hali hii ya kuwa na elimu yenye mwisho Tanzania bado itakuwa nyuma katika utoaji wa huduma bora .ukizingatia kila siku technolojia na mambo mengi yanabadilika kila siku baada ya miaka 20 clinical officer atatumia skills za mwaka 2010 (curriculum) kumtibu mgonjwa mwaka 2035 kwa sababu tu amekosa nafasi ya kujiendeleza.
4. Kwa wenye ndugu anaesoma clinical medicine kama yupo mwaka wa kwanza ni bora akamwambia abadilishe kozi mapema iwezekenavyo, kwani kwanza anasoma vitu limited pili ni vigumu kwelikweli sio mzaha ,na atajuta huko mbela atakapo skia kozi hii inafutwa (just prediction) na hatapewa taarifa
5.Nashauri serikali iangilie vitu vifutavyo
A. Ifute kabisa hii kozi ya clinical medicine
B. AU itafute suluhu ya kujiendeleza kwa clinical officer mwenye GPA chini ya 3.5
EITHER imruhuru mwanafunzi arudie mitihani yake ya nta level 6 ili ajaribu tena na tena kupata wastani unao hitajika kama ilivyo level nyingine za sekondari mtua akifeli anarudia,
C. Ifanyie kazi proposal za nyuma za kuanzishwa kwa banchelor of clinical medicine (kama wanavyofanya zambia .. ingi official website ya UNIVERSITY OF ZAMBIA au google baadhi ya university za china ,malawi etc
D. Itamke wazi kuwa clinical officer akitaka kujiendeleza afanye nini. serikali iandae foundation course ili wadogo zetu nao wasome
E. NASHAURI Wafute hii kozi ,ili iwe rahisi wao kuamua mambo yao bila kuadhiri mambo na elimu za watu wengine