Ni taasisi ndio hutawala na sio binadamu (Soma kwa utulivu uelewe)

GOTILANGU

Senior Member
Aug 23, 2013
182
46
Taasisi kwa lugha ya kigeni ni INSTITUTIONS which refers to laws, regulations, institute, policies, by laws even customs and traditions. Hizi ndio hutawala na ubora wa institutions ndio ubora wa maafankio na tabia ya institutions uadhibu pale unapoenda kinyume na ukwel hapa ni kuwa unapotengeneza insitutions mbovu tegemea kupata adhabu yake na unapotenda haki ya kuzitendea haki pia utapata mafanikio makubwa sana.

Ni kweli ni binadamu ndio hutengeneza instutions lakini ukweli ulopitilza ni kuwa institutions ndio hutawala na bnadamu hufanya coordinations na reinforcements tu. CCM wameenda kinyume na institutions walizojiwekea na knachoendelea ni somo kubwa kwetu kuwa institutions ndio zinazowadhibu sasa na wao kwa uelewa wao wanaona kla kitu kko sawa na watu ndio wanaowaonea au kuwasaliti kitu ambacho sio kweli la kinachowaadhibu wamesahau kuwa wameenda knyume na institutions zao na hapo pana somo kubwa sana hata makazini mwetu pale mtu anaposhindwa kufuata utaratibu pia unaachshwa kazi unanuna hapana sio mtu aliekuadhbu pale institutions zimekuadhbu tena vizuri.
Hapa naomba nieleweke kuwa nstitutions zina pande mbili na zote hutoa matokeo unafanya kulngana au kutolingana pia .

CHADEMA wanapata umaarufu kwakuwa waneenda kulingana na institutions walizojiwekea na institutions hizo zimewatendea haki wakat wenzao wameenda kinyume na institutions wanapata adhabu sasa.

LOWASSA NA SUMAYE mko sahihi mumeendaa UKAWA mumefuata instututions zinazotoa ushirikiano na kutoa suluhisho sahihi nashangaa munawashangaa hawa watu na kuwatumia maneno mengi mnasahau kuwa sio binadamu ila institutions ndio hutawala walikuwa mafisadi au wezi au vyovyote vile ila wameenda kuwa chini ya institutions imara na zinazoongoza vyema na wao wanaenda kutekeleza institutions hizo na kuendelea kuwa wafanyakazi wa institutions hzo.

SLAA KWENDA CCM

Ni suala la heri sana kwa ccm na kwake binafsi ila si suala la maslah mapana ya TANZANIA kwanini nasema hvyo mambo yalivyo hapa hatupngani na kiongoz ila INSTITUTIONS zilizopo na ninaamni CCM kuna viongozi wazuri ila institutions tayari sasa ni wakati wa institutions kutoa adhabu na kweli tunasubir kuona


ITAENDELEA..................................................
 
Organization Development waliosoma hii watatujibu hiii vizuri na kwa undani naomba wataalamu tafadhar
 
Hii ndo shida ya kuchukua theories za watu bila ya kujua ni wakati gani mwafaka wa kuitumia!!! Taasisi Imara hutokana na Uimara wa Uongozi wake! Transformational Leaders/ Reformers ni wachache sana Hapa Tanzania... Hapa lazima ujue kutofautisha Kiongozi na Meneja... Lowassa ni Kiongozi mwenye uwezo wa kuigeuza Tanzania ... Magufuli ni Mgawaji mzuri wa Nyumba za Serikali na Kukuza Deni la Taifa kwa Maslahi mapana ya Mafia wa Vatican ...

Watanzania wanajua kuwa Lowassa anawafaa...
 
Hii ndo shida ya kuchukua theories za watu bila ya kujua ni wakati gani mwafaka wa kuitumia!!! Taasisi Imara hutokana na Uimara wa Uongozi wake! Transformational Leaders/ Reformers ni wachache sana Hapa Tanzania... Hapa lazima ujue kutofautisha Kiongozi na Meneja... Lowassa ni Kiongozi mwenye uwezo wa kuigeuza Tanzania ... Magufuli ni Mgawaji mzuri wa Nyumba za Serikali na Kukuza Deni la Taifa kwa Maslahi mapana ya Mafia wa Vatican ...

Watanzania wanajua kuwa Lowassa anawafaa...

Weka hoja yako ueleweke maana kuna watanzania pia wanajua magufuri anawafaa na kipimo cha kufaa au kutokufaa kwa mgombea ni sanduku la kura.
Watu wazima ila mnaongea kipumbavu kama walevi.
 
Unachanganya sana mtoa post jaribu kutumia neno taasisi ili msomaji asome kwa utulivu,
 
Nimesikitika sana kama na wewe ni msoni tena wa elimu ya juu basi tuvunje vyo vikuu tujenge mabanda ya kuku ili watu wetu wapate afya ya akili,

unaposema utawala ni taasisi sio binadamu inashangaza sana

1,taasisi inatengenezwa na nani na kwa fikra za nani? ,simba ?,chui?,au mbuzi?
2,je unaweza kujibu matihani kabla ya majibu kuwa nayo kichwani mwa binadamu,
naishia hapo kwanza kama utanipa majibu ila ki ukweli usomi wenu unatia shaka na ndo maana kama usomi wako ndo uchambuzi wa namna hii kwanini usifanye interview 500 ajira hamna,
2,
 
unachanganya sana mtoa post jaribu kutumia neno taasisi ili msomaji asome kwa utulivu,

mkuu hajielewi kwa akili ya msoni unaweza sema utawala sio binadamu ni taasisi,hiyo taasisi ni ya mbuzi ,kuku,mende au milima? Ni kweli tunao wasomi wengi lkn kwa uchambuzi wa namna hii lazima tutalia na ajira wakati wakenya wanachukua ajira tunaona hapa ,hatutaki kutumia mbogo zetu kuelewa falsafa ya dunia na elimu vinafanyaje kazi,
 
hii ndo shida ya kuchukua theories za watu bila ya kujua ni wakati gani mwafaka wa kuitumia!!! Taasisi imara hutokana na uimara wa uongozi wake! Transformational leaders/ reformers ni wachache sana hapa tanzania... Hapa lazima ujue kutofautisha kiongozi na meneja... Lowassa ni kiongozi mwenye uwezo wa kuigeuza tanzania ... Magufuli ni mgawaji mzuri wa nyumba za serikali na kukuza deni la taifa kwa maslahi mapana ya mafia wa vatican ...

Watanzania wanajua kuwa lowassa anawafaa...

nafikiri ugetueleza nyaraka za wazi za slaa zidi ya richmond tungekuelewa kuriko kutwamba ya magufuli maana kajenga barabara na tumeona sisi vijijini kwetu mimi na bibi yangu hizo nyumba za mabepari zingenisaida nini?
Barabara kajenga tumeona kila kona wako amefanya nini tangu 1977 alipoingia serikalini,au ndo ukasuku wa vijana wa leo.
 
weka hoja yako ueleweke maana kuna watanzania pia wanajua magufuri anawafaa na kipimo cha kufaa au kutokufaa kwa mgombea ni sanduku la kura.
Watu wazima ila mnaongea kipumbavu kama walevi.

mkuu ungemwambia akwabie lowasa tangu mwaka 1977 yuko serikalini amefanya nini katika taifa hili tunachoweza kuona kila kona ya nchi hii,
 
masengeyalumumba huwa wanapenda sana kukilimbitwa... Nyaraka alizopewa Slaa zimethibitishwa na Lowassa kwa kutaja Mgonja, Luhanjo na Mkuu mwenyewe kuwa ndo wamiliki halali wa Richmond na hadi leo hakuna hata mmoja wao aliejitokeza kujibu!!!

Nyumba za Serikali walizowagaia vimada wao ww unaona sawa? Wahi milembe!! Unajua Deni la Taifa limefikia kiasi gani? hizo barabara so far imeua Watanzania wangapi ?....

nafikiri ugetueleza nyaraka za wazi za slaa zidi ya richmond tungekuelewa kuriko kutwamba ya magufuli maana kajenga barabara na tumeona sisi vijijini kwetu mimi na bibi yangu hizo nyumba za mabepari zingenisaida nini?
Barabara kajenga tumeona kila kona wako amefanya nini tangu 1977 alipoingia serikalini,au ndo ukasuku wa vijana wa leo.
 
Hii ndo shida ya kuchukua theories za watu bila ya kujua ni wakati gani mwafaka wa kuitumia!!! Taasisi Imara hutokana na Uimara wa Uongozi wake! Transformational Leaders/ Reformers ni wachache sana Hapa Tanzania... Hapa lazima ujue kutofautisha Kiongozi na Meneja... Lowassa ni Kiongozi mwenye uwezo wa kuigeuza Tanzania ... Magufuli ni Mgawaji mzuri wa Nyumba za Serikali na Kukuza Deni la Taifa kwa Maslahi mapana ya Mafia wa Vatican ...

Watanzania wanajua kuwa Lowassa anawafaa...

ni kweli lowasa anatufaa watanzania kama mfano wa kiongozi ambaye alistahili kuwa jela na sasa UKAWA amekua rais wao
 
Mtombo kuwa na akili kidogo ... Amemtaja mmiliki wa Richmond kuwa ni M/kiti wenu ... then what? mmelishwa unga kiasi gani?

ni kweli lowasa anatufaa watanzania kama mfano wa kiongozi ambaye alistahili kuwa jela na sasa UKAWA amekua rais wao
 
John Pombe Magufuli will only, in contrast, give us what he is best at, mere good management.
 
Back
Top Bottom