Sija sema hivyo, ila sija ona maana ya vitabu kuwaona wao ni binadamu nusu kuliko wanaumeKwa hiyo amekuja kupindua mpaka vitabu vya dini?
Sawa kama ndio hivyo basi tungeambiana mapema sasa
Muombe Mungu akufungue kifikra utaona tu.Sija sema hivyo, ila sija ona maana ya vitabu kuwaona wao ni binadamu nusu kuliko wanaume
Kama huyu..Kwani kilishawahi kua Cha wanaume tangu lini?
Ushaona wanaume wanapiga magoti wakiomba kura.?
hao wanawake wanaomchukia Samiah ni yale yanayodanga, yalozoea kuhongwa na wanaume, sasa yanasikitika yanajua Samiah mwanamke mwenzao hawezi kuwahonga.hahaaaaaaaa mama kutopendwa una evidence???? wewe kama mfanya utafiti leta utafiti hapa ama utuambie source ya utafiti wako watu wakausome, this time round tunataka huo utafiti usilete tena bla bla sijui twende twitani, ...
ndio nafurahi, tena nataka na mkuu wa majeshi awe mwanamke.Unafurahia mwenyewe au sio
Kifikra au maumbile na hisia?Muombe Mungu akufungue kifikra utaona tu.
hawa yule sio msomi, wanawake wa sasa wameelimika bible wanaijua vzr, quran wanaijua vzr washajifunza.Ukumbuke tuu Hawa alimsaidia Adam kuchuma tunda tuu, je kilichotokea unakijua
Sasa hapa tunposaidiwa mamlaka jumla matokeo yake ndio hayooooo
Ukipenda vyote, sio mbaya. Ila muhimu ni kifikra!Kifikra au maumbile na hisia?
Haki sawa ni lazma kwa kila mwanaadam, maana wote ni binaadam.Unapenda uwe na haki sawa na mwanamke?
Inawezekana ila kwa hapa kwetu sidhani! Vizuri pia!ndio nafurahi, tena nataka na mkuu wa majeshi awe mwanamke.
Kwa hiyo na wewe nategemea unitumie pic umevaa kitop na skin jeans, pia ukiwa na mkeo sio mbaya ukimsaidia kuzaa(technologically), nitumie pic ili niamini kwani wanawake mbona wanavaa suruali.Haki sawa ni lazma kwa kila mwanaadam, maana wote ni binaadam.
Kwa muono wako, vitabu vitakatifu vinakandamiza wanawake?Haki sawa ni lazma kwa kila mwanaadam, maana wote ni binaadam.
Uwezo mdogo Sana hawezi kusimamia Rasilimali za Nchi.Hana maamuzi ya haraka,hajiaminiWhatever means alizotumia kufika hapo anajua atatumia nini kuwa Rais, Kama ni kura mwacheni agombee wananchi ndio wataamua, nyie shida yenu nini????..mtu apimwe kwa perfomance yake sio kisa mwanamke au mwanaume..kwa kifupi hamna hoja!
hio mbona kawaida wee huoni mashoga wanavojinadi huko mitandaoni na mitaani? na yanaelekea kukaribiana na idadi ya wanawake.Kwa hiyo na wewe nategemea unitumie pic umevaa kitop na skin jeans, pia ukiwa na mkeo sio mbaya ukimsaidia kuzaa(technologically), nitumie pic ili niamini kwani wanawake mbona wanavaa suruali.
kijana dunia imebadilika. Dunia ya sasa sio ya zamani na ajenda yao ni moja.Kwa muono wako, vitabu vitakatifu vinakandamiza wanawake?