Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,363
- 2,261
Hujajibu swali, dunia kuwa ya zamani kwa hiyo maandiko pia ni ya zamani? Hivyo yasizingatiwe?kijana dunia imebadilika. Dunia ya sasa sio ya zamani na ajenda yao ni moja.
Wee huoni nchi za magharibi huko ulaya na Amerca lifestyle yao? viongozi wa juu kabisa ni wa kike na maisha yanaendelea
Na TZ na Africa ndipo tunapoelekea huko sasahivi. Karibia kila kitu tunaenda kufanana nao.