PostGE2025 Ni Serikali haramu pekee tangu uhuru baada ya uchaguzi yenye ipo kwenye mgogoro na wananchi na dunia ni kwasababu ni wasaliti wa nchi na haramu

PostGE2025 Ni Serikali haramu pekee tangu uhuru baada ya uchaguzi yenye ipo kwenye mgogoro na wananchi na dunia ni kwasababu ni wasaliti wa nchi na haramu

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,560
Reaction score
7,914
Ni Serikali haramu pekee tangu uhuru baada ya uchaguzi yenyewe ipo kwenye mgogoro mkali na wananchi na dunia ni kwasababu ni wasaliti wa nchi na haramu.

Mgogoro hatimae unazaa maandamano makubwa sana africa nzima ni kwa kile kinachoitwa jaribio la kuiteka nchi na kuwa ya kikoloni na utumwa watanzania wamekataa na D9 tutawaondoa.
 
Ni Serikali haramu pekee tangu uhuru baada ya uchaguzi yenyewe ipo kwenye mgogoro mkali na wananchi na dunia ni kwasababu ni wasaliti wa nchi na haramu.

Mgogoro hatimae unazaa maandamano makubwa sana africa nzima ni kwa kile kinachoitwa jaribio la kuiteka nchi na kuwa ya kikoloni na utumwa watanzania wamekataa na D9 tutawaondoa.
Aliambiwa kwamba, akubali maboresho ya mifumo ya uchaguzi, na afanye maridhiano kabla ya uchaguzi mkuu, alivyo na kiburi na ufupi wake akabadili jina la Tume ya uchaguzi akaiita Tume huru lakini matendo ya hii Tume yakawa ni yale yale ya 2019, 2020 na 2024.

Sasa hivi anahangaika kuzuia maandamano ya Gen z, barozi zinafungwa, jumuia ya kimataifa kila siku inatoa matamko, TEC ndiyo kwanza wanaandaa waraka wa christmas na mwaka mpya. Wakitoka hapo wanatoa waraka wa pasaka.

Samia aliyataka mwenyewe, hatawez kufanya chochote.
 
Back
Top Bottom