Kama unajijua unafanya hivyo jirekebishe ipende nchi yako.Ole wao walambao makalio ya mafisadi na ilaaniwe siku waliyozaliwa
Kama unajijua unafanya hivyo jirekebishe ipende nchi yako.Ole wao walambao makalio ya mafisadi na ilaaniwe siku waliyozaliwa
Yeye ka specify siku ya kuzaliwa wanaolamba ma.... ya mafisadi, are you the one?Maelfu ya watu wanazaliwa kila siku duniani. Kati ya hao kuna wabaya na wazuri, sasa "kulaani" siku walio zaliwa "mafisadi" hai make sense and hence the sentence is vague