Emmadogo
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 4,126
- 3,751
Kama Swali/habari hapo juu. Kutokana na hii miswada ya raslimali madini kuonyesha wazi kuwa haitohusu mikataba ya nyuma iliyosainiwa fasta fasta na kwamba itahusu wachimbaji wapya.
Eti ni sehemu gani Tanzania ambayo bado haijagaiwa kimikataba na ina hayo madini?
Maana mikataba ni siri mpk leo hatujui ni ya miaka mingapi mpk ije kuisha inaweza kuwa ya miaka 100 huwezi jua maana ni Siri!
Maana hata pale Loliondo nasikia eti ni miaka 99
What if kama kila sehemu imeshagaiwa kwenye hiyo mikataba Siri ya zamani?? Hizi sheria zitakuwa na maana gani hata kama wakizinyumbulua nyumbulua??
Eti ni sehemu gani Tanzania ambayo bado haijagaiwa kimikataba na ina hayo madini?
Maana mikataba ni siri mpk leo hatujui ni ya miaka mingapi mpk ije kuisha inaweza kuwa ya miaka 100 huwezi jua maana ni Siri!
Maana hata pale Loliondo nasikia eti ni miaka 99
What if kama kila sehemu imeshagaiwa kwenye hiyo mikataba Siri ya zamani?? Hizi sheria zitakuwa na maana gani hata kama wakizinyumbulua nyumbulua??