wanafanya tafrija kwa sababu gani, wengi wao hata hawajui nini hasa kimo kwenye zile bajeti, wengi wao bajeti zao ni uchwara.
Tatizo la mawaziri wa Tanzania Kila kinapofika kipindi cha bajeti hujifua kama mwanafuzi anayeenda kwenye mtihani, na mwanafunzi huyo akifaulu hufanya sharehe, kesha sahau kama kufaulu ilikuwa wajibu wake, ni sawa na hawa mawaziri wetu NJAA KALI.