Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 10,729
- 14,176
Wazima jamani,its time to start a new relationship now.Kuna boy mmoja ivi ametokea kunipenda and the way i see sioni tatzo kwa kaka wa watu,ila ishu ni umri sasa tunalingana wote tupo 26.Sjawai kua na bf ambae tunalingana umr kiukweli na ktu nnachofkiriaga naona kama haiwezekani kumake future.Em nsaidien jaman kama fikra zangu ni sahihi ama sivyo??
Mimi nilidhani unaongelea mme mtarajiwa, kumbe ka bf. Haina haja kusumbua akili yako, mana ka bf kakisha kula tu kanaondoka zako, navyo jua mlango kama unaingiliwa sio kisheria majambazi wengi tu watapita.