Ni sahihi Mwajiri kukushusha cheo, pasipo kumshirikisha mwajiriwa kwa barua?

Ndera

JF-Expert Member
Sep 11, 2013
653
548
Habari, Wakuu.
Naomba kujua kama ni jambo la kawaida Mwajiri kukushusha cheo, pasipo kumshirikisha mwajiriwa kwa barua, badala yake unakuta job title yako imebadilika ktk salary slip, japo kuwa mshahara haujabadilika. Endapo si sahihi ni hatua zipi zinanapaswa kuchukuliwa.
 
Kushushwa Cheo au demotion Ni kitendo halali kabisa Kwa muajiri kufanya Kama njia mojawapo ya kuhakikisha utendaji Bora, tija na nidhamu kazini

Lakini Ni muhimu kifuata utaratibu ambao Ni pamoja na kumjulisha mhusika Ni sababu gani zimepelekea hatua Hiyo na jitihada gani zilishafanyika Mpaka kufika hapo

Otherwise unaweza muuliza muajiri wako Kabla ya kuamua kumshitaki
Yawezekana Ni typing error tuu kwenye pay slip yako
Asante sana
 
Kushushwa Cheo au demotion Ni kitendo halali kabisa Kwa muajiri kufanya Kama njia mojawapo ya kuhakikisha utendaji Bora, tija na nidhamu kazini

Lakini Ni muhimu kifuata utaratibu ambao Ni pamoja na kumjulisha mhusika Ni sababu gani zimepelekea hatua Hiyo na jitihada gani zilishafanyika Mpaka kufika hapo

Otherwise unaweza muuliza muajiri wako Kabla ya kuamua kumshitaki
Yawezekana Ni typing error tuu kwenye pay slip yako
Asante sana

Asante sana, Mkuu.
 
Unashushwa cheo halafu kazi zako zilezile ofisi ileile mshahara uleule hapo hujashushwa cheo mkuu hapo title imebadilika unachoweza kushitaki ni pale job discription yako ibapobadilika lakini lazima upewe taarifa
 
Tatizo ni kwamba waajiri wengi wanakosea kwa mfano:

Anaweza kukufukuza/kukuachisha kazi au hata hiyo demotion kwa kosa ambalo ni sahihi lakini asifuate taratibu.
Au anaweza kukufuza/kukuachisha kazi/demotion kwa kosa ambalo sio sahihi lakini akafuata taratibu
 
Back
Top Bottom