Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,229
- 12,954
Bado naendelea kujiuliza, Wanasheria wetu walilala au shinikizo la Rais lilikuwa kubwa kiasi hawakutana hata kufanya kazi kwa makini?
Nimepitia ule mkataba wa IGA kati yetu Tanzania na Serikali ya Dubai (kama wanavyodai) kiukweli sijaona sehemu yeyote Serikali ya Dubai hakuna mahala imesaini katika ile IGA, hata hapo walipotoa mamlaka kwa Mkurugenzi wa Bandari asaini, huyo aliyetoa hayo mamlaka hatambuliki ni nani na wala ana cheo gani katika Serikali yao.
Hivi najiuliza, Mkataba wa nchi na nchi inakuwaje unaenda kusainiwa na Mkurugenzi wa bandari? Hata kama issue inayoenda kufanyika ipo katika sekta yake, ila ninachojua, yeye labda sahihi zake zingeonekana katika HGA ila sio IGA.
Kiukweli TUJISAHIHISHE! Hapa tumeingia cha kike.
Nimepitia ule mkataba wa IGA kati yetu Tanzania na Serikali ya Dubai (kama wanavyodai) kiukweli sijaona sehemu yeyote Serikali ya Dubai hakuna mahala imesaini katika ile IGA, hata hapo walipotoa mamlaka kwa Mkurugenzi wa Bandari asaini, huyo aliyetoa hayo mamlaka hatambuliki ni nani na wala ana cheo gani katika Serikali yao.
Hivi najiuliza, Mkataba wa nchi na nchi inakuwaje unaenda kusainiwa na Mkurugenzi wa bandari? Hata kama issue inayoenda kufanyika ipo katika sekta yake, ila ninachojua, yeye labda sahihi zake zingeonekana katika HGA ila sio IGA.
Kiukweli TUJISAHIHISHE! Hapa tumeingia cha kike.