Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,842
Wadau Naomba maelekezo, ivi Kwa mwanaume timamu anaweza akaowa mwanamke wa kimtandao??
Kuna mshikaji wangu ameyakanyaga kaowa Dada wa Facebook ahsee , ila washamba bado wapo yani unamkuta mdada Facebook hamjuani mnakutaka baada ya mwezi unaowa ivi unaakli?
Kuna mshikaji wangu ameyakanyaga kaowa Dada wa Facebook ahsee , ila washamba bado wapo yani unamkuta mdada Facebook hamjuani mnakutaka baada ya mwezi unaowa ivi unaakli?