Ni sahihi kumtongoza Msichana mbele ya mama yake?

Ni sahihi kumtongoza Msichana mbele ya mama yake?

Chapa mpaka ilale

Senior Member
Joined
May 17, 2018
Posts
152
Reaction score
159
Habarini wana Jamii Forums leo nimeona nishare na nyinyi hii mda maana wanawake ni viumbe ambao hawaeleweki kabisa.

Kuna siku niko kwenye basi maeneo ya majohe hapa SSM sasa nikakutana na dada mmoja kazur balaa ikabidi nianze kutafuta timing nikasema huyu kituo chochote akishuka nashuka nae heeh.

Kwa kuwa mm nilikuwa nimekaa kwenye kiti yeye kasimama pemben yangu muda mwing alikuwa akitupia jicho lake kwenye cmu yngu nikaweka movie kisha nikawa nachek MAPS ME ili nipate navigation ya uelekeo wangu kupitia GPS basi mtoto akawa anashangaa tu jicho kakaza kwenye simu karibu kila nachofanya yy anachek nikimwangalia macho yakigongana anakwepesha.

Tunafika mpaka majpe akashuka na mimi nikashuka sasa kuna mmama alikuwa pemben wameachana umbali fulan hivi mimi sikujua kama ni mama yake.

Ile namfuata mtoto nikaanza kumsoundisha mtoto akawa ananisikiliza gafla nashangaa yule mmama anarud kwa speed kufika tukawaka uyo ww kaka unataka nn kwa uyu binti yngu nikamwambia kuna mtu nimemfananisha nae kawaka tena sio yy kukatokea vurugu na malumbano makali yule mama akawa anaomdoka huku makelele kibao akafika mbali kidogo nikawaambia wale watu waliokusanyika eneo lile kwamba uyu anachofanya si sahihi huku nikitolea ufafanuzi heeh mmama kuona vile naona uyo anarudi tena kwa kasi kawaka uyo " we kaka unasemaje ww kaka unasemaje " pakazuka tena pirukushan.

Bodaboda wakaja kunitoa huku wakinishi ninyamaze nisimjibu ikabidi nikae kimya tu yule mmama akawaka weeeh mpaka alipoona karidhika akasepa na mimi nikasepa.
 
Wamama ni werevu sana:
Hata kama umepanda daladala, akitangulia yeye kupanda halafu akakuona kijana smart kama mimi umekaa peke yako, nimetupia viwalo fresh, simu ya maana mkononi, buti safi sio ndala, ngozi inaonyesha wazi sina dhiki za ajabu wa stress za kipumbavu, atakacho kifanya atakaa siti ya upande wa pili, binti yake akija atamwambia akae na wewe, wawe karibu. Gari ikianza kujaa mama ataenda kukaa siti za mbele makusudi.

Lakini ukiona mama anakuwa mbogo, ujue kimuonekano ulifeli siku hiyo kumshawishi mama mkwe akupe fursa.
 
Ulimjibu nini huyo maza mpaka akawaka hivoo na kujaza nzi
Mbona kuwatuliza hao ni rahis sana
 
Ulimjibu nini huyo maza mpaka akawaka hivoo na kujaza nzi
Mbona kuwatuliza hao ni rahis sana
Nilinwambia kuwa nimemfananisha na mtu fulaan huyu ivo nilipenda kumfahamu ndio maana nikamwomba namba ya simu lkn haikusaidia kitu
 
Wamama ni werevu sana:
Hata kama umepanda daladala, akitangulia yeye kupanda halafu akakuona kijana smart kama mimi umekaa peke yako, nimetupia viwalo fresh, simu ya maana mkononi, buti safi sio ndala, ngozi inaonyesha wazi sina dhiki za ajabu wa stress za kipumbavu, atakacho kifanya atakaa siti ya upande wa pili, binti yake akija atamwambia akae na wewe, wawe karibu. Gari ikianza kujaa mama ataenda kukaa siti za mbele makusudi.

Lakini ukiona mama anakuwa mbogo, ujue kimuonekano ulifeli siku hiyo kumshawishi mama mkwe akupe fursa.
Nilikuwa smart na simu nilikuwa na samsung A10 nilikuwa very smart maana uko najoe nilikuwa nafuata gambe lengine na sina sura ya kihuni

Yaan ata sielew huyu mama alitakaje
 
Yupo sahihi na pia ulionesha dharau kujibizana nae..!!

unajua walitoka wap/wanaenda wapi/huyo mama yupo katika hali gani..?

vp kuhusu mtoto wako wa kike anatongozwa na wewe ukiwepo hapo hapo..?

nadhani hata uyo binti aliona ujiheshimu kwa kitendo cha kubishana na mama yake.
 
Nilikuwa smart na simu nilikuwa na samsung A10 nilikuwa very smart maana uko najoe nilikuwa nafuata gambe lengine na sina sura ya kihuni

Yaan ata sielew huyu mama alitakaje
Hii kauli hapa "kukatokea vurugu na malumbano makali" inaonyesha wazi una uso wa kikauzu zaidi ya harmorapa.
Shukuru Mungu bi mkubwa hajakupigia kelele ya mwizi, ungeshakufa.

Next time ukipata chance ya kukutana na mtoto mkali hata kama yupo na babake mzazi na kavaa gwanda za bakabaka na ana bunduki begani, nicheki pm nikupe mbinu, namba utachukua na mshua atakulipia nauli.

Legendary Out.
 
Back
Top Bottom