kikiboxer
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 3,076
- 8,132
Wakuu habari zenu!
Nina mtoto mdogo wa miezi 2 na siku kadhaa juzi alienda kliniki akachomwa sindano ya chanjo sasa jana kaamka na mafua hali inayopelekea kulia muda mwingi.
Mama watoto leo asubuhi ilibidi aende kizahanati fulani kupata ushauri wa daktari, wakamwandikia dawa ya coldril awe anampa mtoto kutibu mafua.
Mimi sikuwepo nyumbani ilibidi anipigie kuniambia nami sababu sina utaalamu nikampigia mdogo wangu mmoja(kiumri) ambae ni daktari akanishauri tusimpe hiyo dawa sababu mtoto bado mdogo hivyo figo zake bado hazikomaa kuhimili madawa.
Sasa wakuu napenda kupata maoni yenu humu je ni sahihi kwa mtoto kupewa hizo dawa?
Na je ninahaki ya kuuliza elimu ya daktari/mtu anaeni attend kabla hajaanza kunipa huduma kwa zahanati zetu hizi ndogo ili kupunguza risk ya kupata huduma ambayo si sahihi?
Naomba kuwasilisha mada nikisubiri majibu wakuu.
N:B kama kuna aliewahi kuuliza ishu ya namna hii basi nitaomba mnitag. Asanteni
Nina mtoto mdogo wa miezi 2 na siku kadhaa juzi alienda kliniki akachomwa sindano ya chanjo sasa jana kaamka na mafua hali inayopelekea kulia muda mwingi.
Mama watoto leo asubuhi ilibidi aende kizahanati fulani kupata ushauri wa daktari, wakamwandikia dawa ya coldril awe anampa mtoto kutibu mafua.
Mimi sikuwepo nyumbani ilibidi anipigie kuniambia nami sababu sina utaalamu nikampigia mdogo wangu mmoja(kiumri) ambae ni daktari akanishauri tusimpe hiyo dawa sababu mtoto bado mdogo hivyo figo zake bado hazikomaa kuhimili madawa.
Sasa wakuu napenda kupata maoni yenu humu je ni sahihi kwa mtoto kupewa hizo dawa?
Na je ninahaki ya kuuliza elimu ya daktari/mtu anaeni attend kabla hajaanza kunipa huduma kwa zahanati zetu hizi ndogo ili kupunguza risk ya kupata huduma ambayo si sahihi?
Naomba kuwasilisha mada nikisubiri majibu wakuu.
N:B kama kuna aliewahi kuuliza ishu ya namna hii basi nitaomba mnitag. Asanteni