Adimu
JF-Expert Member
- Aug 22, 2013
- 678
- 308
- Thread starter
- #61
ulimgombeza kisa simu iko busy au kwa kujibu msg after one hour!!
na huyo gf aliomba msamaha wa kosa gan.......
Nilimgombeza kwa kunitafuta baada ya 1hr, msamaha aliomba kwa kuchekewa kunitafuta wakati simu aliiona ikiita wakati yuko bize